Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Naomba kujua ni raha ipi hiyo?
Kikubwa ni maturity kwenye nyanya nyingi za maisha.

Ukweli ni kwamba umri alio nao unamfanya awe na uzoefu katika mahusiano na maisha kwa ujumla na wengi ni waelewa mkiwa mnayajenga

Wanajua kuyajenga mahusiano hata kunapotokea hali ya kutoelewana they are good at controlling relationship

Wengi waelewa halafu wako vizuri kwenye life plan

Hawana drama kama hizi za mabinti ambao bado hawajawa mature kwenye mahusiano

Wengi sio mzigo kwa mwanamume hasa kwenye kujilipia bills

Wako mature enough hata kitandani anakupea wote mfurahie

Mambo ni mengi hayo baadhi tu
 
Kikubwa ni maturity kwenye nyanya nyingi za maisha.

Ukweli ni kwamba umri alio nao unamfanya awe na uzoefu katika mahusiano na maisha kwa ujumla na wengi ni waelewa mkiwa mnayajenga

Wanajua kuyajenga mahusiano hata kunapotokea hali ya kutoelewana they are good at controlling relationship

Wengi waelewa halafu wako vizuri kwenye life plan

Hawana drama kama hizi za mabinti ambao bado hawajawa mature kwenye mahusiano

Wengi sio mzigo kwa mwanamume hasa kwenye kulipa bil

Wako mature enough hata kitandani anakupea wote mfurahie

Mambo ni mengi hayo baadhi tu
Ahsante.
 
Kikubwa ni maturity kwenye nyanya nyingi za maisha.

Ukweli ni kwamba umri alio nao unamfanya awe na uzoefu katika mahusiano na maisha kwa ujumla na wengi ni waelewa mkiwa mnayajenga

Wanajua kuyajenga mahusiano hata kunapotokea hali ya kutoelewana they are good at controlling relationship

Wengi waelewa halafu wako vizuri kwenye life plan

Hawana drama kama hizi za mabinti ambao bado hawajawa mature kwenye mahusiano

Wengi sio mzigo kwa mwanamume hasa kwenye kulipa bil

Wako mature enough hata kitandani anakupea wote mfurahie

Mambo ni mengi hayo baadhi tu
umemaliza mzee
 
All in all kwa mwanaume cha msingi kimboo kiingie kikwaruzwe kwenye zile kuta kuta zenye ute ute na nyama nyama laini ,,, kwa mwanamke ki..**** chake. Ki feel kuingiziwa ki nyama nyamA. Vileee kama unaingia ndani ya nyumba yakoo
 
Wote tunaangalia good genes, tunachagua kwa kigezo cha uzuri, ila mimi kimtazamo experience/upbringing nazo zinashape choices za mtu,hivyo kumpata mwanaume handsome akiwa na mwanamke mbaya sio jambo la kushangaza...
Hata kumkuta mwanamke mrembo kwa jamaa ugly sio la kushangaza ili mradi kibunda kipo
 
Mwanamke asikuzidi akili tu🤣
Plus hela

Nakubaliana nawe mwanamke lazima umzidi akili ili umwongoze ni sawa kabisa

Nirudi kwenye pesa. Vitabu vitakatifu vinasema pesa ni ulinzi

Mwanamume kuwa na pesa si lazima uwe tajiri ila uwe na uwezo wa kumtunza atajihisi secured hili ni hitaji la mwanamke yeyote duniani anapotafuta partner wa kufanya naye maisha

Ni jukumu la mwanamume kuitunza familia. Akili bila kipato bado hujatimiza uanaume wako
 
Mimi nadhani ni suala la mtazamo tu.

Sioni shida mm kuoa au kuishi na dada aliyenizidi umri. Kinachomatter ni akili ya muhusika. Kujitambua, Heshima, masikilizano, nidhamu na bidii ya kutafuta maisha ndo vitu muhimu.

Sababu Kuna ambao wameolewa/ kuoa na waliowazidi umri Ila tunashuhudia vituko Tu kila siku ugomvi.

Cha muhimu ni kumuelewa mwenzio Mambo ya umri hayana maana sababu mnaweza kusimama mbele za watu na isionekane tofauti ya umri wenu. Zaidi ni nyinyi wenyewe ndo mnajua.

Kwaiyo kwangu mm ni Sawa Tu na hata Kwa wale ambao wanaona sio sawa ni Sawa Tu. Hatuwezi kuwa na mitazamo inayolingana Kwa kila kitu.

Tofauti za mitazamo ndo inayofanya dunia iendelee kuwepo.
 
Back
Top Bottom