Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini utakitafuna kisamvu changu?
To be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendelee kuwa single [emoji18][emoji18]
kwahiyo inawezekana sio??Ana pesa kwanza?!!!
Sio kuchoshana na kitoto afu hakina pesa mimi kwa akili zangu ndogo nitakozabua makofi
Ndio maana sijamjibu nisije kumuadhibu bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anatafuta vita dogo
Unaharibu sasa
Hao ndio mboga umewatag au wewe?
Naomba uniache kabla komwe langu halijavurugika.
Kitu kama iko saiv bola iweSo unatafutwa justification ya kulelewa?
Hamna nimeona amekutag km mbogaMimi wifi yake mkubwa kuna tatizo bro [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wote wanaojifanya siwezi hakuna manzi humu atafatwa na chalii anasukuma G wagen au Ferari halafu aseme hamtaki [emoji1787]!
[emoji30]Ana pesa kwanza?!!!
Sio kuchoshana na kitoto afu hakina pesa mimi kwa akili zangu ndogo nitakozabua makofi
kwahiyo inawezekana sio??
😂😂Banaa wee mkwanja ndio kila kitu, umri nina kadi lake la clinic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji30]
asante kwa kunitia moyo😂Banaa wee mkwanja ndio kila kitu, umri nina kadi lake la clinic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna nimeona amekutag km mboga
Hujatulia lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siwezi kumsaliti sisy