Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Nimeandika na kufuta mara nyingi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ acha kesho nayo siku nitakushauri vizuri... mshamba_hachekwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa kunitia moyo[emoji23]
ahadi ni deniNimeandika na kufuta mara nyingi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ acha kesho nayo siku nitakushauri vizuri... mshamba_hachekwi
Unaniudhi kwa kweliBro nimetulia jamani [emoji85]
Panapo uzima, usijali nitalitimiza.ahadi ni deni
Mwanamume ni mwanamume tu hata uumzidi umri miaka 5. Cha muhimu auvae ukichwa na atimize majukumu yake ya kama mume na baba
Hahahah aliekwambia madogo wote wanalelewa nani. Mtu anakuja kwako akiwa well established. Ana kampuni zake ana run kama CEO. Mkwanje mrefu Dubai kama towntrips tu. [emoji1787]
Acheni usanii!!! Hakuna mwanamke anayekataa mtu mwenye uhakika wa maokoto hata awe janki.
Ukiamuaga huna baya wewe kiumbeπPanapo uzima, usijali nitalitimiza.
[emoji3][emoji3][emoji3]Unaongea tu. Labda kama huyo kijana sio mtoto wa Bhakresa[emoji1787]
Mmmmmh π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakufukuzia mawindo yako, bas nitajitahidi niache
nilitegemea utasema 'pathetic'πNapendelea mwanaume awe amenizidi umri
Ila hiyo sio guarantee ya kua na akili timamu za kimaisha
Kuna wanaume wana umri mkubwa ila akili walinyimwa[emoji23]
Anyway cha muhimu upendo
Unanivunjia heshima dada.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakufukuzia mawindo yako, bas nitajitahidi niache
Mmmmmh [emoji41]
Hahaha unachujuakiben teniNapendelea mwanaume awe amenizidi umri
Ila hiyo sio guarantee ya kua na akili timamu za kimaisha
Kuna wanaume wana umri mkubwa ila akili walinyimwa[emoji23]
Anyway cha muhimu upendo
π€£π€£π€£π€£π€£ hebu niache huko. Ule ujumbe toka kwa nani kwanza?Ukiamuaga huna baya wewe kiumbeπ
ππππJipoze kidogoπ€£π€£π€£π€£π€£ hebu niache huko. Ule ujumbe toka kwa nani kwanza?
ππππnilitegemea utasema 'pathetic'π
Kwa hiyo kumbe issue ni pesa[emoji2][emoji2][emoji2]Wote wanaojifanya siwezi hakuna manzi humu atafatwa na chalii anasukuma G wagen au Ferari halafu aseme hamtaki [emoji1787]!