Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
kwanini 😃umeingia kingi kudadeki😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini 😃umeingia kingi kudadeki😬
Sawa ila kumpata handsome na mwanamke naye awe analipa pia maana anashobokewa na warembo wengiNgumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation,mtu akiwa mbaya maanake atasambaza genes mbaya kwa watoto,na watoto wakizaliwa kama sio wazuri maanake watashindwa kupata mates,na wakishindwa kupata mates maana yake DNA zetu hazitakua passed on, mimi siwezi kuelezea vizuri lakini ni hivyo...lol
endelea mkuu mimi sina shida😂Kwanini unamsema hivyo?
joto jingi, kudekezwa....😁Naomba kujua ni raha ipi hiyo?
Hakikisha unamtafuna kijambio ili mazarau yaisheUzidiwe urefu na mwanamke dharau sana mzeiya
Ahahaa!! mm leo nasoma sana sana comments sina maneno mingi.joto jingi, kudekezwa....[emoji16]
ukiwa mfupi anakuona huna akili automatikaliMwanamke asikuzidi akili tu[emoji1787]
you said it all... say no more!!!!Wanawake wanaojitafuta hupenda kudate na vibabu ili wapewe pesa, Wanawake waliojipata hudate na vivulana ili apate mahaba ndi ndi ndi.
pesa zikiwemo je??For me hapana, nawish kuwa na mtu ambaye amenizidi atleast hata 1 yr si mbaya, ila ambaye nimemzidi mmh nahofia kuitwa mama mdogo badala ya babe😩
[emoji23][emoji23][emoji23]ukiwa mfupi anakuona huna akili automatikali
najua utafikisha ujumbe tu😂
Tena usiku huu huu😅najua utafikisha ujumbe tu😂
Wote tunaangalia good genes, tunachagua kwa kigezo cha uzuri, ila mimi kimtazamo experiences/upbringing nazo zinashape choices za mtu,hivyo kumpata mwanaume handsome akiwa na mwanamke mbaya sio jambo la kushangaza...Sawa ila kumpata handsome na mwanamke naye awe analipa pia maana anashobokewa na warembo wengi
kuna mtu nimemuona huku ndo natafuta ushauri hapa😂Tena usiku huu huu😅
Kwahyo totoo umeshapata lishangazi au ndio unatafuta?
Dogo utakua umepata kashangazi [emoji2][emoji2]asante sana mkuu hii imenitia moyo
Ushauri wangu usidate shangazi mwenye njaa, atakupausha utafrahikuna mtu nimemuona huku ndo natafuta ushauri hapa😂
nimeichukua hiyo....Ushauri wangu usidate shangazi mwenye njaa, atakupausha utafrahi