Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Darlin kama Darlin. Wenyewe wanasema loud and clearNapendelea mwanaume awe amenizidi umri
Ila hiyo sio guarantee ya kua na akili timamu za kimaisha
Kuna wanaume wana umri mkubwa ila akili walinyimwa[emoji23]
Anyway cha muhimu upendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuAna pesa kwanza?!!!
Sio kuchoshana na kitoto afu hakina pesa mimi kwa akili zangu ndogo nitakazabua makofi
No, dish halikuyumba, kiuhalisia jamii nyingi zinamuhesabia mwanaume hata akiwa mdogo ni mfalme.Huyo 📡 litakuwa liliyumba.
Kuna possibility kubwa ya wewe kuiona Pepo,umeongea ukweli ambao wengi humu wameuficha.😥😥😥Kama ana hela hakuna tatizo 😂😂
una sehemu yako mbinguni dada....Y not ,niko nae huyo kaka ni msweet huyo ,na nimemzid miaka minne,Mungu nitunzie furaha yng
Hiyo age difference ni kubwa sana Huoni kumwamkia huyo mtoto ni kumtwisha jukumu zito🙄?No, dish halikuyumba, kiuhalisia jamii nyingi zinamuhesabia mwanaume hata akiwa mdogo ni mfalme.
Mimi katika maisha yangu aijawahi kutamani wala kuwaza kuwa na uhuaiano na ke aliyenizidi.
Sipendi hicho kitu kabisa.
Aliwahi mmoja aliyenizidi miaka 2 kutamani niwe naye kwangu ilikuwa ngumu
Unawajua wa mama wa mujini wasiotaka kuzeeka wewe?😂Hiyo age difference ni kubwa sana Huoni kumwamkia huyo mtoto ni kumtwisha jukumu zito🙄?
imeisha hiyo mjomba😂ni ushamba wako tu. mishangazi ina raha yake
ndio uwahi yule jirani yakoimeisha hiyo mjomba😂
Napenda mwanaume mwenye ukomavu wa akili...anaweza kuwa mkubwa ila ndio akawa kama alivyokuwa boma yee!boma liwanza..Ukweli wako ukoje?
dada yangu mimi shikamooNapenda mwanaume mwenye ukomavu wa akili...anaweza kuwa mkubwa ila ndio akawa kama alivyokuwa boma yee!boma liwanza..
Fallla wewe🤣🤣🤣🤣Napenda mwanaume mwenye ukomavu wa akili...anaweza kuwa mkubwa ila ndio akawa kama alivyokuwa boma yee!boma liwanza..
Marhaaaaaabaaaaa.....umepotelea wapi kadogo changu?dada yangu mimi shikamoo
[emoji23][emoji23][emoji23]Napenda mwanaume mwenye ukomavu wa akili...anaweza kuwa mkubwa ila ndio akawa kama alivyokuwa boma yee!boma liwanza..
😂😂😂Haya mambo sio rahisi jamani kama tunavyoyachukuliaFallla wewe🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Usiombe umpate wa hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Tajir G-wagon ni mbali sana, hawa madem wanaume wanao wa-recommend na uhalisia ni tofauti ... Watamaliza maneno yote hapa bt wakiingia field matokeo ni tofautiWote wanaojifanya siwezi hakuna manzi humu atafatwa na chalii anasukuma G wagen au Ferari halafu aseme hamtaki [emoji1787]!
nipo mbona ni ubusy tu dada mkubwa, mzima wewe?Marhaaaaaabaaaaa.....umepotelea wapi kadogo changu?