Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

madini....
 
Dada ukitongozwa na ukoo wa Wasira utakataa? Wakati unajibu tafakari na opportunities watoto wako watapata
 
Umemaliza ....
 
Umeongea mama, mi nampima mwanaume jinsi anapambania familia yake, jinsi anajua majukumu yake, urefu wako na usix packs aisee havileti ugali mezani wala ada za watoto, hao watoto wakiwa na sura ngumu au muonekano wa kawaida so long wamesoma na mewapambania kuwajengea bright future watapata tu wenzi...kua na janaume Hadi umeme anakupigia simu utume token kisa tu ni mrefu ,six packs, good looking and powerfully hands hapana jamani....
 
kunadada mmoja nilikutana nae kwenye harakati mjini.

nikapiga swaga akanigomea kwakigezo chaumri mimi Niko na 27 yeye 34

nikamlia taiming uzaifu wake uko wapi alikuwa anatumia teckno

nikawasimtongozi tena namtumia tuu zawadi ndogo ndogo Kama hela yakusuka nahela ndogo ndogo tuu.

sikumoja nikamtoa aut nikampelekea simu ya laki tano aisee huwezi amini aliniambia fanya chochote unacho taka kwenye mawili wangu mana nimeamini unanipenda kweli

nilipiga mashine usikuule kwahasira zote mana nilibeti helazangu nyingi kiasi
 
Aah mi napita tu
 
🙌🤭🤣🤔Looooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…