Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

6

Eeeh shosti hii analysis Yako kiboko!we unaangalia security ya kulinda himaya Kwa kuangalia body ya mtu kwani Kuna mfecane war siku hizi? Security ya Karne hii haipimwi Kwa maguvu ya mtu,kama ni hivyo wale mabaunsa wangekuwa deal, Security Ina indicator zake bwana wee., Kichwani lazima awe smart so ni rahisi kufanikiwa kusolve matatizo ya familia.
By the way sipendi wanaume wenye mamisuli,sijui six pack nawaogopa.
Hizo ni preferences zako kama hupendi wanaume wenye misuli, Chagua mwanaume legelege kama hata utakuwa na amani humo ndani..

seriously wakiwekwa wanaume na wanawake kwenye room waambiwe wachaguane, wanaume wanaoonyesha wanaweza ku provide security iwe physically,financially etc ndio watakuwa favoured, ni traits zinazoangaliwa na females.

Kichwani awe smart ni jambo tunaloangalia pia,ila si kweli mabaunsa hawana deal,tembea uone..
 
Una mamisuli?
FB_IMG_16885878761983420.jpg
 
Back
Top Bottom