Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Una mamisuli?Ajhaaaa nimekosa koloni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mamisuli?Ajhaaaa nimekosa koloni.
Hizo ni preferences zako kama hupendi wanaume wenye misuli, Chagua mwanaume legelege kama hata utakuwa na amani humo ndani..6
Eeeh shosti hii analysis Yako kiboko!we unaangalia security ya kulinda himaya Kwa kuangalia body ya mtu kwani Kuna mfecane war siku hizi? Security ya Karne hii haipimwi Kwa maguvu ya mtu,kama ni hivyo wale mabaunsa wangekuwa deal, Security Ina indicator zake bwana wee., Kichwani lazima awe smart so ni rahisi kufanikiwa kusolve matatizo ya familia.
By the way sipendi wanaume wenye mamisuli,sijui six pack nawaogopa.
Umeona Eeeeeh ndugu yangu🤣🤣🤣🤣 yaani inabidi ubehave kuliko maelezo,aaah ni mateso jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka. Mwanaume akiwa mkubwa sana nayo hapana hata kujiachia unashindwa unahisi kama upo na baba yako.
Unaweza date mwanamke mkubwa kwako?sina mengi hapa hayo yatosha labda kule kwingine
mpemba tuliaaaa😂Ajhaaaa nimekosa koloni.
Una mamisuli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona Eeeeeh ndugu yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani inabidi ubehave kuliko maelezo,aaah ni mateso jamani
Umeona Eeeeeh ndugu yangu🤣🤣🤣🤣 yaani inabidi ubehave kuliko maelezo,aaah ni mateso jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka. Mwanaume akiwa mkubwa sana nayo hapana hata kujiachia unashindwa unahisi kama upo na baba yako.
Me ni Olomos siwezi kuwa Mkojani jua litawaka usiku mama yeeeh.mpemba tuliaaaa😂
[emoji23][emoji23][emoji23] kafie mbele
Tutawezana😅Lala mtoto mzuri...una miaka mingapi nione kama tunaweza kuungana mangangari mawili😂😂😂
Unapima reasoning capacity ya mtu kwa umri...??
Muache mtu wetu apumzike huko aliko,asije akakujengea hoja huko aliko,ukamfuata...😁😁😁Napenda mwanaume mwenye ukomavu wa akili...anaweza kuwa mkubwa ila ndio akawa kama alivyokuwa boma yee!boma liwanza..
Yaani binadamu wa hivi Binafsi ni hapana kabisa🙇🙇🙇🙇
usinifanyie hivyo 😂 😂Unaweza date mwanamke mkubwa kwako?
Ni kipaji chako komaa nacho mi sinaUkiona shem kazeeka unaanza kuwa shangazi... Si yaleyale tu....
Tena na siku hizi kwenye jamii zetu mwanaume wa 50+ Ana sukari + BP isiyotulia
Ukiangalia mwanamke ana 35 - 40 minyege kibao, anaanza kutafuta wa 28+
🤦🤦🤦 Njia yetu sote.R.I.PMuache mtu wetu apumzike huko aliko,asije akakujengea hoja huko aliko,ukamfuata...😁😁😁
[emoji2][emoji2]Ulikua huru nae lakini ama ulikua unajilazimisha?usinifanyie hivyo [emoji23] [emoji23]
nimewahi date mkubwa kwangu alinizidi 3yrs
Imeisha hiyo😍Ameeen!
Unataka kina kussah sio ?Yaani binadamu wa hivi Binafsi ni hapana kabisa🙇🙇🙇🙇