Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

nimezaliwa na kukulia arusha
Arusha ya buza? Dooh mm kuoa mwanamke alienizidi umri siwezi hata kama hana mtoto, napenda mke wangu nimzidi miaka 5 hadi 13

Na pia siwezi sex na mishangazi, yani mm kutongoza jimama lililonizidi umri, inabidi huyo jimama awe exceptional kweli kwenye swala la uzuri na shape, still hata kama jimama ni lizuri, nta-sex nalo ila siwezi nikalioa. mshamba_hachekwi
 
Arusha ya buza? Dooh mm kuoa mwanamke alienizidi umri siwezi hata kama hana mtoto, napenda mke wangu nimzidi miaka 5 hadi 13

Na pia siwezi sex na mishangazi, yani mm kutongoza jimama lililonizidi umri, inabidi huyo jimama awe exceptional kweli kwenye swala la uzuri na shape, still hata kama jimama ni lizuri, nta-sex nalo ila siwezi nikalioa. mshamba_hachekwi
kwa umri nilionao aliyenizidi miaka 1-10 hawezi kua lishangazi
 
Banaa wee mkwanja ndio kila kitu, umri nina kadi lake la clinic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa mfano Una wanaume wawili, wote ni matajiri, kimuonekano na kitabia wote wanavutia, Ila mmoja amekuzidi miaka 5, mwingine ni mdogo kwako umemzidi umri kwa miaka 5, wewe inatakiwa uchague mmoja aje akuoe, utamchukua yupi kati ya hao? Cute Wife
 
Wengi wanadai wanawake tunazeeka mapema. Kwa hiyo wanataka wanaume wakubwa angalau waweze kwenda sawa.
Nahisi pia ni nature, mm siwezi tongoza wala kuoa mwanamke alienizidi umri, hata kama huyo mwanamke hana mtoto.

Pia napenda sana nimzidi urefu mke wangu.

Mke wangu nataka nimzidi miaka kuanzia 5- hadi miaka 13, hapo ndo na-enjoy, ila pia ku-date na mdada ninaelingana naye kiumri sijui nakua najionaje, yaani si-fantasize kabisa ku-date na wadada nliosoma nao darasa moja chuo Kelsea
 
Nahisi pia ni nature, mm siwezi tongoza wala kuoa mwanamke alienizidi umri, hata kama huyo mwanamke hana mtoto.

Pia napenda sana nimzidi urefu mke wangu.

Mke wangu nataka nimzidi miaka kuanzia 5- hadi miaka 13, hapo ndo na-enjoy, ila pia ku-date na mdada ninaelingana naye kiumri sijui nakua najionaje, yaani si-fantasize kabisa ku-date na wadada nliosoma nao darasa moja chuo Kelsea
Sawa rafiki.
 
Back
Top Bottom