Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kuna mwenzio anasema wale wana akili nyingi sana 🤣🤣🤣Imagine😅😅😅
Hapana jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwenzio anasema wale wana akili nyingi sana 🤣🤣🤣Imagine😅😅😅
Hapana jamani
Mbona unataka yeye akulee kwan amekuzaa? Matako ya fisiKama huyo cocomelon ananijali, ananispoil, for me it's a yes. Ila kama anataka nianze tena kumlea kama nmemzaa. It's a big NO
Nmeona hapo juu amekuita ukamle kisamvu!!kumbe we ni papai aisee dah[emoji23]
Au kisamvuPapai bivu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ananikana na alisema anapenda kula mapapaiiiii... wizo nimechanganyikiwa [emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wizo niwacheeeee mshamba anakukana live live dah!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndioooo, anitafune kabisa sio kunipa tu nitume salamuuEeh hapo sasa!!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akujibu tujue si alikupa [emoji441] ukatutumia salamu
wala hata usijali😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndioooo, anitafune kabisa sio kunipa tu nitume salamuu
Ni sawa maana kila mtu na mtazamo wake. Pia wenye akili watakuwepo😅Kuna mwenzio anasema wale wana akili nyingi sana 🤣🤣🤣
asanteNachoweza kukushauri follow your heart.. mapenzi hayana formula as long as uko na furaha, mnaelewana na kusikilizana
Tena wanawake wanasema wanapenda ku-date na wanaume wenye umri mkubwa nahis ni kwasababu wanafikiri umri mkubwa=hela ExtrovertNi swala la muda tu. Umewazidi umri vijana wengi tu ila hajatokea ambaye anakuvutia. Rest assured atakugonga tu na hamna kitu utafanya. 🤣
Wewe mtoa mada umezaliwa na kukulia daresalaam? Samahani lakini kwa hili swali mshamba_hachekwimimi sitaki kua dominated sasa😂
nimezaliwa na kukulia arushaWewe mtoa mada umezaliwa na kukulia daresalaam? Samahani lakini kwa hili swali mshamba_hachekwi
Arusha ya buza? Dooh mm kuoa mwanamke alienizidi umri siwezi hata kama hana mtoto, napenda mke wangu nimzidi miaka 5 hadi 13nimezaliwa na kukulia arusha
kwa umri nilionao aliyenizidi miaka 1-10 hawezi kua lishangaziArusha ya buza? Dooh mm kuoa mwanamke alienizidi umri siwezi hata kama hana mtoto, napenda mke wangu nimzidi miaka 5 hadi 13
Na pia siwezi sex na mishangazi, yani mm kutongoza jimama lililonizidi umri, inabidi huyo jimama awe exceptional kweli kwenye swala la uzuri na shape, still hata kama jimama ni lizuri, nta-sex nalo ila siwezi nikalioa. mshamba_hachekwi
jirani ushakuja😃😃, unaendeleaje 😂😂😂Jirani mbona yule jamaa mliyefungiana ndani ni mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa mfano Una wanaume wawili, wote ni matajiri, kimuonekano na kitabia wote wanavutia, Ila mmoja amekuzidi miaka 5, mwingine ni mdogo kwako umemzidi umri kwa miaka 5, wewe inatakiwa uchague mmoja aje akuoe, utamchukua yupi kati ya hao? Cute WifeBanaa wee mkwanja ndio kila kitu, umri nina kadi lake la clinic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahisi pia ni nature, mm siwezi tongoza wala kuoa mwanamke alienizidi umri, hata kama huyo mwanamke hana mtoto.Wengi wanadai wanawake tunazeeka mapema. Kwa hiyo wanataka wanaume wakubwa angalau waweze kwenda sawa.
Sawa rafiki.Nahisi pia ni nature, mm siwezi tongoza wala kuoa mwanamke alienizidi umri, hata kama huyo mwanamke hana mtoto.
Pia napenda sana nimzidi urefu mke wangu.
Mke wangu nataka nimzidi miaka kuanzia 5- hadi miaka 13, hapo ndo na-enjoy, ila pia ku-date na mdada ninaelingana naye kiumri sijui nakua najionaje, yaani si-fantasize kabisa ku-date na wadada nliosoma nao darasa moja chuo Kelsea