Kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia

Kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia

ni utafiti for academic purposes tu, na si vinginevyo
We mtu wa rohoni,utafiti wa kidunia wa Nini??Nini usifanye chunguzi kuhusu kunena Kwa Lugha?Je Ile ni Lugha gani?Je watu wanaielewa akizungumzwa?Je ni sahihi kuongea lugha ambayo wengine hawelewi???
 
Hubiri injili baba hakuna wa kuzuia kazi ya Mungu. Wapate huko huko mpk wamkiri Yesu ni Bwana na mwokozi wao
hiyo tafanya kwa bidii kabisa na kwa Neema ya Mungu siwezi choka wala kukata Tamaa, ntang'ang'ana nayo kwa sadaka au bila sadaka, injili ifike kule inatakikana kufika kwa wakati muafaka
 
hiyo tafanya kwa bidii kabisa na kwa Neema ya Mungu siwezi choka wala kukata Tamaa, ntang'ang'ana nayo kwa sadaka au bila sadaka, injili ifike kule inatakikana kufika kwa wakati muafaka
Ila upunguze kukagua visamaki baba mtumishi!! Sadaka zetu hizo ujue unatoa kufanya utafiti wako 😂😂😂
 
Ila upunguze kukagua visamaki baba mtumishi!! Sadaka zetu hizo ujue unatoa kufanya utafiti wako 😂😂😂
🤣uskue na wasiwasi, hii tu ni mambo ya shule kidogo hapa na pale na tukikutana huko be Free tafadhali enjoy
 
Ndugu zangu hii hali ya lugha ya malkia mbona inanchanganya sana.

Unakuta kwenye interview msahiliwa msomi kabisa, ata introduction tu, jasho inatoka na mpaka sauti inapotea kabisa, na haitoki ng'oo. Hawezi kujieleza kiingereza anatetema tu msomi huyu wa chuo..

Lakini msahiliwa huyuhuyu akitoka kwenye interview, kule ambapo lugha ya malkia ilikata sauti, akienda kutupiamo gambe kadhaa. Yaani leta kama tulivyo, round tatu hazifiki lugha ya malkia inachukua mkondo na nafasi yake inatiririka kavizuri kama vilea amezaliwa mamtoni.. One for the road kama zote...

Na hapa kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia kwa sauti madaha ,mikogo na slangs kama zote hata kama amekunya pombe mshenzi huko mitaani..

Ni nini siri ya hii kitu gambe, mbona nyingine zimezalishwa humuhumu nchini, zingine ni za kienyeji?
Nyagi kidogo kwa presentation unaondoka na 9/10 au 10 zote.
 
We mtu wa rohoni,utafiti wa kidunia wa Nini??Nini usifanye chunguzi kuhusu kunena Kwa Lugha?Je Ile ni Lugha gani?Je watu wanaielewa akizungumzwa?Je ni sahihi kuongea lugha ambayo wengine hawelewi???
hiyo ni compalsory academic requirements kujua vile mambo ya dunia inakwendaje.

Ile kunena kwa lugha ni automatic spiritual language ni Lazima uwepo kwenye spiritual sphere. Vinginevyo hutaskia wala kuelewa nini imezunguzwa.

Hii ingine ni analog mpaka ubusti na gambe ndio kiingreza inaflow sasa hii ni ya kidunia zaidi na ndio tunatakakujua why?
 
Kingereza lugha ya walevi baba mtumishi 😂😂😂
nimesoma observation muungwana moja ametuma apo juu, actually si lugha ya walevi in such lakini ulevi inawachochea na kuwaongezea ujasiri wakuongea kwa kujiamini zaidi hata kama wanakosea hawachoki kuendelea kuonga...

mara ooh, add two here, thr and thr
mara keep change,
mara bring bills,
mara how much unadai,
One for the road n.k.

kwenye chai kimya kimya tu
 
nimesoma observation muungwana moja ametuma apo juu, actually si lugha ya walevi in such lakini ulevi inawachochea na kuwaongezea ujasiri wakuongea kwa kujiamini zaidi hata kama wanakosea hawachoki kuendelea kuonga...

mara ooh, add two here, thr and thr
mara keep change,
mara bring bills,
mara how much unadai,
One for the road n.k.

kwenye chai kimya kimya tu
Umeua 😂😂😂😂
Kweli we unashinda bar
 
Umeua 😂😂😂😂
Kweli we unashinda bar
mahali nipo kitambo sana ni madhabahuni hii ingine ni for a while tu, na ni academic lakini ninajifunza ladha ya enjoying za wengine pia bila kuwabughudhi
 
Ndugu zangu hii hali ya lugha ya malkia mbona inanchanganya sana.

Unakuta kwenye interview msahiliwa msomi kabisa, ata introduction tu, jasho inatoka na mpaka sauti inapotea kabisa, na haitoki ng'oo. Hawezi kujieleza kiingereza anatetema tu msomi huyu wa chuo..

Lakini msahiliwa huyuhuyu akitoka kwenye interview, kule ambapo lugha ya malkia ilikata sauti, akienda kutupiamo gambe kadhaa. Yaani leta kama tulivyo, round tatu hazifiki lugha ya malkia inachukua mkondo na nafasi yake inatiririka kavizuri kama vilea amezaliwa mamtoni.. One for the road kama zote...

Na hapa kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia kwa sauti madaha ,mikogo na slangs kama zote hata kama amekunya pombe mshenzi huko mitaani..

Ni nini siri ya hii kitu gambe, mbona nyingine zimezalishwa humuhumu nchini, zingine ni za kienyeji?
Kwa hiyo Muwe mnapiga gambe kabla ya interview ili mkiingia kwenye chumba mnatema tu kimalikia
 
Kwa hiyo Muwe mnapiga gambe kabla ya interview ili mkiingia kwenye chumba mnatema tu kimalikia
nasubiri maoni ya wadau tuweze kuona na kuamua kama inafaa, msahiliwa kugonga kwanza k-vant ndogo au kisungura ndio azame kwenye usahili
 
Back
Top Bottom