Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanzana😂Mwehu weweee!!!🤣🤣🤣🤣
He we vipi wote wawili unataka roho yangu? tugawane dhambi hizo!🤣🤣
Hueleweki!🤣🤣We tulia Nina kazi nacho...Nina safari ya pemba naenda nacho 😅😅
Nina kale ka fantasy kangu jamani😅🤣🏃🏃
Mimi nilishakuachiaga kitambo sana, beba misalaba yako, nimeokoka mimi sasa namtumikia Yesu😂Nina kale ka fantasy kangu jamani😅🤣🏃🏃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda chimpumu na mabanana. Na lugha za kuongopeana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikilewaga ulanzii navotema yai, utadhan nimesoma Harvard.
Mwamba kaaga mashindano??🤣🤣🤣Basi wewe usindikizwe na kibao Cha Nandy "mchumba unataka Nini""toa la rohoni
🤣🤣🤣🤣Au jamani Mnaonaje tukiwashauri vijana wakusoma kina mshamba_hachekwi wakiwa wanaingia kwenye paper wahakikishe wako njwiiiii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikilewaga ulanzii navotema yai, utadhan nimesoma Harvard.
Akat Massachusetts penyewe napasoma kwa magazeti. Mweeeeh
Mimi nipo, siwezi kuacha vitu vizuri in the name of kuokoka...🤣🤣Mwamba kaaga mashindano??🤣🤣🤣Basi wewe usindikizwe na kibao Cha Nandy "mchumba unataka Nini""toa la rohoni