Kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia

Kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia

Pombe ni software ya ku- upgrade ubongo... Mtu kama alikuwa si muongeaji sana akishakunywa tu anageuka vuvuzela.

Aliyekuwa anaogopa wanawake, akishakatia tu hakuna mwanamke atakayetiza mbele yake bila kumsumbua.

Kuna wale ambao hawana tabia za kutafuta au kuwajulia hali ndugu zao, akisha install pombe yaani ni kupiga tu simu na hakuna cha maana atakachoongea.

Wenye aibu wakishakatia utawaona kila nyimbo itakayopigwa lazima acheze na wengine hadi huvua nguo kabisa

Aliegundua pombe hakika amewaweza walimwengu.
 
Nyieeee kumbe pombe sio dhambi na hamsemi?mbona baba mchungaji ni mdau? Missy Gf Lamomy cocastic wakunyumba niletee strawberry lips nihangaike nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikilewaga ulanzii navotema yai, utadhan nimesoma Harvard.

Akat Massachusetts penyewe napasoma kwa magazeti. Mweeeeh
 
Mwamba kaaga mashindano??🤣🤣🤣Basi wewe usindikizwe na kibao Cha Nandy "mchumba unataka Nini""toa la rohoni
Mimi nipo, siwezi kuacha vitu vizuri in the name of kuokoka...🤣🤣
 
Back
Top Bottom