Kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia

ni utafiti for academic purposes tu, na si vinginevyo
We mtu wa rohoni,utafiti wa kidunia wa Nini??Nini usifanye chunguzi kuhusu kunena Kwa Lugha?Je Ile ni Lugha gani?Je watu wanaielewa akizungumzwa?Je ni sahihi kuongea lugha ambayo wengine hawelewi???
 
Hubiri injili baba hakuna wa kuzuia kazi ya Mungu. Wapate huko huko mpk wamkiri Yesu ni Bwana na mwokozi wao
hiyo tafanya kwa bidii kabisa na kwa Neema ya Mungu siwezi choka wala kukata Tamaa, ntang'ang'ana nayo kwa sadaka au bila sadaka, injili ifike kule inatakikana kufika kwa wakati muafaka
 
hiyo tafanya kwa bidii kabisa na kwa Neema ya Mungu siwezi choka wala kukata Tamaa, ntang'ang'ana nayo kwa sadaka au bila sadaka, injili ifike kule inatakikana kufika kwa wakati muafaka
Ila upunguze kukagua visamaki baba mtumishi!! Sadaka zetu hizo ujue unatoa kufanya utafiti wako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila upunguze kukagua visamaki baba mtumishi!! Sadaka zetu hizo ujue unatoa kufanya utafiti wako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣uskue na wasiwasi, hii tu ni mambo ya shule kidogo hapa na pale na tukikutana huko be Free tafadhali enjoy
 
Nyagi kidogo kwa presentation unaondoka na 9/10 au 10 zote.
 
We mtu wa rohoni,utafiti wa kidunia wa Nini??Nini usifanye chunguzi kuhusu kunena Kwa Lugha?Je Ile ni Lugha gani?Je watu wanaielewa akizungumzwa?Je ni sahihi kuongea lugha ambayo wengine hawelewi???
hiyo ni compalsory academic requirements kujua vile mambo ya dunia inakwendaje.

Ile kunena kwa lugha ni automatic spiritual language ni Lazima uwepo kwenye spiritual sphere. Vinginevyo hutaskia wala kuelewa nini imezunguzwa.

Hii ingine ni analog mpaka ubusti na gambe ndio kiingreza inaflow sasa hii ni ya kidunia zaidi na ndio tunatakakujua why?
 
Kingereza lugha ya walevi baba mtumishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
nimesoma observation muungwana moja ametuma apo juu, actually si lugha ya walevi in such lakini ulevi inawachochea na kuwaongezea ujasiri wakuongea kwa kujiamini zaidi hata kama wanakosea hawachoki kuendelea kuonga...

mara ooh, add two here, thr and thr
mara keep change,
mara bring bills,
mara how much unadai,
One for the road n.k.

kwenye chai kimya kimya tu
 
Umeua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli we unashinda bar
 
Umeua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli we unashinda bar
mahali nipo kitambo sana ni madhabahuni hii ingine ni for a while tu, na ni academic lakini ninajifunza ladha ya enjoying za wengine pia bila kuwabughudhi
 
Kwa hiyo Muwe mnapiga gambe kabla ya interview ili mkiingia kwenye chumba mnatema tu kimalikia
 
Kwa hiyo Muwe mnapiga gambe kabla ya interview ili mkiingia kwenye chumba mnatema tu kimalikia
nasubiri maoni ya wadau tuweze kuona na kuamua kama inafaa, msahiliwa kugonga kwanza k-vant ndogo au kisungura ndio azame kwenye usahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…