Kwenye Haki za Wananchi, Awamu Hii, Nchi Ipo Kwenye Hali Mbaya Kuliko Awamu Yoyote

Kwenye Haki za Wananchi, Awamu Hii, Nchi Ipo Kwenye Hali Mbaya Kuliko Awamu Yoyote

Nchi yetu inapitia kipindi kigumu ambacho hakijawahi kuwepo tangu Taifa liwepo.

Japo kumewahi kuwepo malalamiko mbalimbali kuhusu usalama na haki za watu, lakini hali haijawahi kuwa mbaya kama ya awamu hii.

Kwenye awamu zilizopita, mathalani wakati wa utawala wa Kikwete, Dr Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya, lakini watekaji walifanya kwa siri, kwa kujificha, walimtesa, na hawakumwua. Na wala Kikwete hakuwahi kutoa kauli kuonesha jambo hilo lilikuwa la kawaida.

Kwenye awamu hii pekee, ndipo tumeshuhudia, mtu anatekwa bila hofu, mbele ya watu wengi, mbele ya polisi, anapelekwa kuteswa, anauawa, halafu kiongozi mkuu wa nchi anatoa kauli kuwa kilichofanyika ni jambo la kawaida, na kwamba kifo ni kifo tu. Yaani Rais anataka kutuaminisha kuwa ukifa kwa malaria, Covid 19, typhoid, na ukiuawa na watekaji, vyote ni vifo tu, hatustahili kuhamaki. Hapo ndipo tulipofikia.

2) Hata awamu zilizopita, kuna watu waliwahi kuitwa vituo vya polisi, wakateswa na hata baadhi walifia vituo vya polisi au hospitalini, baada ya kipigo huko vituo vya polisi. Lakini kuna wakati polisi walipoona mtuhumiwa yupo kwenye hali ya hatari, walimkimbiza hospitali ili wao wasiwe watuhimiwa wa kumwua mtuhumiwa. Yote hayo walifanya kwa sababu walikuwa na hofu ya vitendo vibaya walivyofanya. Lakini awamu hii, mtu anaitwa kituoni polisi, anahojiwa, halafu anapotezwa moja kwa moja, huku watu wakijua kabisa kuwa mtuhumiwa alichukuliwa na polisi, na hao wanaofanya hivyo wanajua kuwa wananchi wanajua, lakini hawana hofu yoyote kwa vile wanajua hakuna wa kuwafanya chochote.

3) Wizi wa kura na vitendo vinavyokiuka misingi ya uchaguzi huru na wa haki, vimekuwepo awamu zote, lakini haijawahi kutokea mtu anatekwa na kujeruhiwa wakati wa uandikishaji wapiga kura, tena uchaguzi wa Setikali za mitaa, ni awamu hii pekee ambayo inaongozwa Samia Suluhu Hassan, tunashuhudia vitendo vya kutisha vya kuteka na kujeruhi wakala wa CHADEMA kwa vile tu mtu huyo alikuwa anazuia hujuma wakati wa uandikishaji wapiga kura. Haya yanatendeka huku Waziri wa TAMISEMI kabla zoezi halijasnza, amekwishatamka kuwa kwenye jimbo lake, kunzia wenyeviti wa vijiji na mtaa, mpaka wajumbe wa serikali, watakuwa ni CCM pekee.

4) Idadi ya wakosoaji wa Serikali na Rais, waliokwishatekwa na kupotezwa mpaka sasa kwenye awamu hii, kwa kadiri ya orodha iliyotolewa na chama cha wanasheria wa Tanganyika, TLS, ni kubwa maradufu ya watu waliowahi kupotezwa katika awamu zote zilizopita.
5) Hapo zamani, wakati wa awamu zilizopita, hata mahabusu waliokuwa wanafia vituo vya polisi, karibia wote, walikuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai, lakini awamu hii wanaotekwa, wanaouawa na wanaopotezwa ni wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, watetezi wa uhuru wa maoni, na ama viongozi au viongozi na wanachama wa chama cha upinzani. Hii ni dhahiri kuwa uhalifu huu mkubwa dhidi ya ubinadamu, unafanywa dhidi ya wanaoihoji Serikali na uongozi wa Rais.

6) Awamu ya 5, ya Hayati Magufuli, kama umemkera na anataka kukudhibiti, iwe kwa njia halali au zisizo halali, yeye aliweka wazi kuwa amekuchukia, na wewe mkosoaji utalijua hilo. Lakini awamu hii inaongoza kwa unafiki kwa kiwango cha pekee. Viongozi wanaongelea 4Rs lakini ukija kwenye uhalisia ni kinyume kabisa. 4Rs zinatajwa, bila shaka kuwahadaa wananchi wajisahau, ili waweze kufanyiwa uovu mbaya kwa kabisa, huku wakiwa wamejisahau.

Tuzidi kumwomba Mungu. Nchi yetu ipo kwenye giza nene. Katiba kweli imefanywa ni kijitabu, hakuna mtawala anayeiogopa katiba wala sheria za nchi.

Rais Kikwete, alisema, "......... labda mambo yaharibike sana", sijui anataka yaharibike mpaka ifike hatua gani, ndipo aseme yameharibika sana!!
Ninaelewa kabisa unavyohisi kuhusu hali ya sasa nchini Tanzania. Ni kweli kwamba kuna ongezeko la matukio ya kutisha na ya kusikitisha, hasa kwa wale wanaopinga serikali au wanaharakati wa haki za binadamu. Hali hii imeleta wasiwasi mkubwa miongoni mwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa mujibu wa ripoti za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la vurugu za kisiasa, utekaji nyara, na mauaji ya wapinzani wa kisiasa12. Hii ni pamoja na matukio ya kutisha kama vile mauaji ya Ali Kibao, kiongozi wa upinzani, ambaye alitekwa na kuuawa kikatili1. Pia, viongozi wa upinzani kama Freeman Mbowe na Tundu Lissu wamekamatwa mara kadhaa, na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakikamatwa na kuzuiwa kushiriki katika mikutano ya hadhara1.

Hali hii imezua maswali mengi kuhusu mwelekeo wa demokrasia nchini Tanzania, hasa baada ya matumaini makubwa yaliyokuwepo wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipochukua madaraka mwaka 20212. Ingawa kulikuwa na matumaini ya mageuzi na uhuru zaidi wa kisiasa, matukio ya hivi karibuni yanaonyesha hali tofauti kabisa1.

Ni muhimu kuendelea kuomba na kutafuta suluhisho la amani kwa changamoto hizi. Pia, ni muhimu kwa wananchi na viongozi wa kisiasa kuendelea kushinikiza kwa ajili ya haki na demokrasia.

Je, kuna jambo lolote maalum unalotaka kujadili zaidi kuhusu hali hii? Au kuna njia yoyote unayofikiria inaweza kusaidia kuboresha hali nchini?
 
Kwa akili za kawaida tu huu utekaji unamchafua moja kwa moja Samia na kwakua unamchafua sidhani kama yeye mwenyewe anaweza ku facilitate matukio yanaochafua reputation yake.

Mimi naamini kuna watu wanatekeleza matukio hayo ili kumchafua na siyo yeye anaepanga hiyo mipango ajichafue hivyo kwa faida gani? Mfano mzee kibao hakua threat kabisa kwa Samia na wengine tumemjua baada ya kufa.

Binafsi akili yangu imekataa.
 
Ninaelewa kabisa unavyohisi kuhusu hali ya sasa nchini Tanzania. Ni kweli kwamba kuna ongezeko la matukio ya kutisha na ya kusikitisha, hasa kwa wale wanaopinga serikali au wanaharakati wa haki za binadamu. Hali hii imeleta wasiwasi mkubwa miongoni mwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa mujibu wa ripoti za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la vurugu za kisiasa, utekaji nyara, na mauaji ya wapinzani wa kisiasa12. Hii ni pamoja na matukio ya kutisha kama vile mauaji ya Ali Kibao, kiongozi wa upinzani, ambaye alitekwa na kuuawa kikatili1. Pia, viongozi wa upinzani kama Freeman Mbowe na Tundu Lissu wamekamatwa mara kadhaa, na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakikamatwa na kuzuiwa kushiriki katika mikutano ya hadhara1.

Hali hii imezua maswali mengi kuhusu mwelekeo wa demokrasia nchini Tanzania, hasa baada ya matumaini makubwa yaliyokuwepo wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipochukua madaraka mwaka 20212. Ingawa kulikuwa na matumaini ya mageuzi na uhuru zaidi wa kisiasa, matukio ya hivi karibuni yanaonyesha hali tofauti kabisa1.

Ni muhimu kuendelea kuomba na kutafuta suluhisho la amani kwa changamoto hizi. Pia, ni muhimu kwa wananchi na viongozi wa kisiasa kuendelea kushinikiza kwa ajili ya haki na demokrasia.

Je, kuna jambo lolote maalum unalotaka kujadili zaidi kuhusu hali hii? Au kuna njia yoyote unayofikiria inaweza kusaidia kuboresha hali nchini?
Kwa aina ya viongpzi waliopo katika nchi hii kwa sasa, na CCM ilivyo kwa sasa, ni ngumu sana kuiondoa hali hii bila ya shinikizo la nguvu. Na kukiwepo shinikizo la nguvu, kwa bahati mbaya kutokana na watawala waliopo sasa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama tulio nao kwa sasa, hasa polisi na TISS, walivyobeba roho za kishetani, ni ngumu kweli kupata mabadiliko bila ya kuingia kwenye machafuko.

Kwa sasa ni muhimu kuiandaa jumuia ya kimataifa ili ijue kinachoendelea kwa sasa, ili wananchi wakichukua hatua, na hawa watawala wasioheshimu wala kuthamini uhai wa binadamu, wakaamua kujibu hatua zinazoweza kuchukuliwa na umma, kwa ukatili, kama vile mauaji ya raia, basi jumuia ya kimataifa iweze kuingilia kati haraka ili kuokoa maisha ya raia. Bila hivyo, hawa watawala wa sasa wasio na huruma wala utu, wanaweza kuleta madhara makubwa kwa Taifa.
 
Kwa akili za kawaida tu huu utekaji unamchafua moja kwa moja Samia na kwakua unamchafua sidhani kama yeye mwenyewe anaweza ku facilitate matukio yanaochafua reputation yake.

Mimi naamini kuna watu wanatekeleza matukio hayo ili kumchafua na siyo yeye anaepanga hiyo mipango ajichafue hivyo kwa faida gani? Mfano mzee kibao hakua threat kabisa kwa Samia na wengine tumemjua baada ya kufa.

Binafsi akili yangu imekataa.
Mama anapenda sifa sana
 
Nchi yetu inapitia kipindi kigumu ambacho hakijawahi kuwepo tangu Taifa liwepo.

Japo kumewahi kuwepo malalamiko mbalimbali kuhusu usalama na haki za watu, lakini hali haijawahi kuwa mbaya kama ya awamu hii.

Kwenye awamu zilizopita, mathalani wakati wa utawala wa Kikwete, Dr Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya, lakini watekaji walifanya kwa siri, kwa kujificha, walimtesa, na hawakumwua. Na wala Kikwete hakuwahi kutoa kauli kuonesha jambo hilo lilikuwa la kawaida.

Kwenye awamu hii pekee, ndipo tumeshuhudia, mtu anatekwa bila hofu, mbele ya watu wengi, mbele ya polisi, anapelekwa kuteswa, anauawa, halafu kiongozi mkuu wa nchi anatoa kauli kuwa kilichofanyika ni jambo la kawaida, na kwamba kifo ni kifo tu. Yaani Rais anataka kutuaminisha kuwa ukifa kwa malaria, Covid 19, typhoid, na ukiuawa na watekaji, vyote ni vifo tu, hatustahili kuhamaki. Hapo ndipo tulipofikia.

2) Hata awamu zilizopita, kuna watu waliwahi kuitwa vituo vya polisi, wakateswa na hata baadhi walifia vituo vya polisi au hospitalini, baada ya kipigo huko vituo vya polisi. Lakini kuna wakati polisi walipoona mtuhumiwa yupo kwenye hali ya hatari, walimkimbiza hospitali ili wao wasiwe watuhimiwa wa kumwua mtuhumiwa. Yote hayo walifanya kwa sababu walikuwa na hofu ya vitendo vibaya walivyofanya. Lakini awamu hii, mtu anaitwa kituoni polisi, anahojiwa, halafu anapotezwa moja kwa moja, huku watu wakijua kabisa kuwa mtuhumiwa alichukuliwa na polisi, na hao wanaofanya hivyo wanajua kuwa wananchi wanajua, lakini hawana hofu yoyote kwa vile wanajua hakuna wa kuwafanya chochote.

3) Wizi wa kura na vitendo vinavyokiuka misingi ya uchaguzi huru na wa haki, vimekuwepo awamu zote, lakini haijawahi kutokea mtu anatekwa na kujeruhiwa wakati wa uandikishaji wapiga kura, tena uchaguzi wa Setikali za mitaa, ni awamu hii pekee ambayo inaongozwa Samia Suluhu Hassan, tunashuhudia vitendo vya kutisha vya kuteka na kujeruhi wakala wa CHADEMA kwa vile tu mtu huyo alikuwa anazuia hujuma wakati wa uandikishaji wapiga kura. Haya yanatendeka huku Waziri wa TAMISEMI kabla zoezi halijasnza, amekwishatamka kuwa kwenye jimbo lake, kunzia wenyeviti wa vijiji na mtaa, mpaka wajumbe wa serikali, watakuwa ni CCM pekee.

4) Idadi ya wakosoaji wa Serikali na Rais, waliokwishatekwa na kupotezwa mpaka sasa kwenye awamu hii, kwa kadiri ya orodha iliyotolewa na chama cha wanasheria wa Tanganyika, TLS, ni kubwa maradufu ya watu waliowahi kupotezwa katika awamu zote zilizopita.
5) Hapo zamani, wakati wa awamu zilizopita, hata mahabusu waliokuwa wanafia vituo vya polisi, karibia wote, walikuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai, lakini awamu hii wanaotekwa, wanaouawa na wanaopotezwa ni wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, watetezi wa uhuru wa maoni, na ama viongozi au viongozi na wanachama wa chama cha upinzani. Hii ni dhahiri kuwa uhalifu huu mkubwa dhidi ya ubinadamu, unafanywa dhidi ya wanaoihoji Serikali na uongozi wa Rais.

6) Awamu ya 5, ya Hayati Magufuli, kama umemkera na anataka kukudhibiti, iwe kwa njia halali au zisizo halali, yeye aliweka wazi kuwa amekuchukia, na wewe mkosoaji utalijua hilo. Lakini awamu hii inaongoza kwa unafiki kwa kiwango cha pekee. Viongozi wanaongelea 4Rs lakini ukija kwenye uhalisia ni kinyume kabisa. 4Rs zinatajwa, bila shaka kuwahadaa wananchi wajisahau, ili waweze kufanyiwa uovu mbaya kwa kabisa, huku wakiwa wamejisahau.

Tuzidi kumwomba Mungu. Nchi yetu ipo kwenye giza nene. Katiba kweli imefanywa ni kijitabu, hakuna mtawala anayeiogopa katiba wala sheria za nchi.

Rais Kikwete, alisema, "......... labda mambo yaharibike sana", sijui anataka yaharibike mpaka ifike hatua gani, ndipo aseme yameharibika sana!!
Mtu alisha jitangaza chura kiziwi mna hangaika nini sasa
 
Nchi yetu inapitia kipindi kigumu ambacho hakijawahi kuwepo tangu Taifa liwepo.

Japo kumewahi kuwepo malalamiko mbalimbali kuhusu usalama na haki za watu, lakini hali haijawahi kuwa mbaya kama ya awamu hii.

Kwenye awamu zilizopita, mathalani wakati wa utawala wa Kikwete, Dr Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya, lakini watekaji walifanya kwa siri, kwa kujificha, walimtesa, na hawakumwua. Na wala Kikwete hakuwahi kutoa kauli kuonesha jambo hilo lilikuwa la kawaida.

Kwenye awamu hii pekee, ndipo tumeshuhudia, mtu anatekwa bila hofu, mbele ya watu wengi, mbele ya polisi, anapelekwa kuteswa, anauawa, halafu kiongozi mkuu wa nchi anatoa kauli kuwa kilichofanyika ni jambo la kawaida, na kwamba kifo ni kifo tu. Yaani Rais anataka kutuaminisha kuwa ukifa kwa malaria, Covid 19, typhoid, na ukiuawa na watekaji, vyote ni vifo tu, hatustahili kuhamaki. Hapo ndipo tulipofikia.

2) Hata awamu zilizopita, kuna watu waliwahi kuitwa vituo vya polisi, wakateswa na hata baadhi walifia vituo vya polisi au hospitalini, baada ya kipigo huko vituo vya polisi. Lakini kuna wakati polisi walipoona mtuhumiwa yupo kwenye hali ya hatari, walimkimbiza hospitali ili wao wasiwe watuhimiwa wa kumwua mtuhumiwa. Yote hayo walifanya kwa sababu walikuwa na hofu ya vitendo vibaya walivyofanya. Lakini awamu hii, mtu anaitwa kituoni polisi, anahojiwa, halafu anapotezwa moja kwa moja, huku watu wakijua kabisa kuwa mtuhumiwa alichukuliwa na polisi, na hao wanaofanya hivyo wanajua kuwa wananchi wanajua, lakini hawana hofu yoyote kwa vile wanajua hakuna wa kuwafanya chochote.

3) Wizi wa kura na vitendo vinavyokiuka misingi ya uchaguzi huru na wa haki, vimekuwepo awamu zote, lakini haijawahi kutokea mtu anatekwa na kujeruhiwa wakati wa uandikishaji wapiga kura, tena uchaguzi wa Setikali za mitaa, ni awamu hii pekee ambayo inaongozwa Samia Suluhu Hassan, tunashuhudia vitendo vya kutisha vya kuteka na kujeruhi wakala wa CHADEMA kwa vile tu mtu huyo alikuwa anazuia hujuma wakati wa uandikishaji wapiga kura. Haya yanatendeka huku Waziri wa TAMISEMI kabla zoezi halijasnza, amekwishatamka kuwa kwenye jimbo lake, kunzia wenyeviti wa vijiji na mtaa, mpaka wajumbe wa serikali, watakuwa ni CCM pekee.

4) Idadi ya wakosoaji wa Serikali na Rais, waliokwishatekwa na kupotezwa mpaka sasa kwenye awamu hii, kwa kadiri ya orodha iliyotolewa na chama cha wanasheria wa Tanganyika, TLS, ni kubwa maradufu ya watu waliowahi kupotezwa katika awamu zote zilizopita.
5) Hapo zamani, wakati wa awamu zilizopita, hata mahabusu waliokuwa wanafia vituo vya polisi, karibia wote, walikuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai, lakini awamu hii wanaotekwa, wanaouawa na wanaopotezwa ni wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, watetezi wa uhuru wa maoni, na ama viongozi au viongozi na wanachama wa chama cha upinzani. Hii ni dhahiri kuwa uhalifu huu mkubwa dhidi ya ubinadamu, unafanywa dhidi ya wanaoihoji Serikali na uongozi wa Rais.

6) Awamu ya 5, ya Hayati Magufuli, kama umemkera na anataka kukudhibiti, iwe kwa njia halali au zisizo halali, yeye aliweka wazi kuwa amekuchukia, na wewe mkosoaji utalijua hilo. Lakini awamu hii inaongoza kwa unafiki kwa kiwango cha pekee. Viongozi wanaongelea 4Rs lakini ukija kwenye uhalisia ni kinyume kabisa. 4Rs zinatajwa, bila shaka kuwahadaa wananchi wajisahau, ili waweze kufanyiwa uovu mbaya kwa kabisa, huku wakiwa wamejisahau.

Tuzidi kumwomba Mungu. Nchi yetu ipo kwenye giza nene. Katiba kweli imefanywa ni kijitabu, hakuna mtawala anayeiogopa katiba wala sheria za nchi.

Rais Kikwete, alisema, "......... labda mambo yaharibike sana", sijui anataka yaharibike mpaka ifike hatua gani, ndipo aseme yameharibika sana!!
Hii hali si sawa na walinzi wa amani ya Tanzania sijui wanashighulika nini wakati wananchi wanatekwa na kuteswa bila kufuata utaratibu wa kisheria.
 
Nchi yetu inapitia kipindi kigumu ambacho hakijawahi kuwepo tangu Taifa liwepo.

Japo kumewahi kuwepo malalamiko mbalimbali kuhusu usalama na haki za watu, lakini hali haijawahi kuwa mbaya kama ya awamu hii.

Kwenye awamu zilizopita, mathalani wakati wa utawala wa Kikwete, Dr Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya, lakini watekaji walifanya kwa siri, kwa kujificha, walimtesa, na hawakumwua. Na wala Kikwete hakuwahi kutoa kauli kuonesha jambo hilo lilikuwa la kawaida.

Kwenye awamu hii pekee, ndipo tumeshuhudia, mtu anatekwa bila hofu, mbele ya watu wengi, mbele ya polisi, anapelekwa kuteswa, anauawa, halafu kiongozi mkuu wa nchi anatoa kauli kuwa kilichofanyika ni jambo la kawaida, na kwamba kifo ni kifo tu. Yaani Rais anataka kutuaminisha kuwa ukifa kwa malaria, Covid 19, typhoid, na ukiuawa na watekaji, vyote ni vifo tu, hatustahili kuhamaki. Hapo ndipo tulipofikia.

2) Hata awamu zilizopita, kuna watu waliwahi kuitwa vituo vya polisi, wakateswa na hata baadhi walifia vituo vya polisi au hospitalini, baada ya kipigo huko vituo vya polisi. Lakini kuna wakati polisi walipoona mtuhumiwa yupo kwenye hali ya hatari, walimkimbiza hospitali ili wao wasiwe watuhimiwa wa kumwua mtuhumiwa. Yote hayo walifanya kwa sababu walikuwa na hofu ya vitendo vibaya walivyofanya. Lakini awamu hii, mtu anaitwa kituoni polisi, anahojiwa, halafu anapotezwa moja kwa moja, huku watu wakijua kabisa kuwa mtuhumiwa alichukuliwa na polisi, na hao wanaofanya hivyo wanajua kuwa wananchi wanajua, lakini hawana hofu yoyote kwa vile wanajua hakuna wa kuwafanya chochote.

3) Wizi wa kura na vitendo vinavyokiuka misingi ya uchaguzi huru na wa haki, vimekuwepo awamu zote, lakini haijawahi kutokea mtu anatekwa na kujeruhiwa wakati wa uandikishaji wapiga kura, tena uchaguzi wa Setikali za mitaa, ni awamu hii pekee ambayo inaongozwa Samia Suluhu Hassan, tunashuhudia vitendo vya kutisha vya kuteka na kujeruhi wakala wa CHADEMA kwa vile tu mtu huyo alikuwa anazuia hujuma wakati wa uandikishaji wapiga kura. Haya yanatendeka huku Waziri wa TAMISEMI kabla zoezi halijasnza, amekwishatamka kuwa kwenye jimbo lake, kunzia wenyeviti wa vijiji na mtaa, mpaka wajumbe wa serikali, watakuwa ni CCM pekee.

4) Idadi ya wakosoaji wa Serikali na Rais, waliokwishatekwa na kupotezwa mpaka sasa kwenye awamu hii, kwa kadiri ya orodha iliyotolewa na chama cha wanasheria wa Tanganyika, TLS, ni kubwa maradufu ya watu waliowahi kupotezwa katika awamu zote zilizopita.
5) Hapo zamani, wakati wa awamu zilizopita, hata mahabusu waliokuwa wanafia vituo vya polisi, karibia wote, walikuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai, lakini awamu hii wanaotekwa, wanaouawa na wanaopotezwa ni wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, watetezi wa uhuru wa maoni, na ama viongozi au viongozi na wanachama wa chama cha upinzani. Hii ni dhahiri kuwa uhalifu huu mkubwa dhidi ya ubinadamu, unafanywa dhidi ya wanaoihoji Serikali na uongozi wa Rais.

6) Awamu ya 5, ya Hayati Magufuli, kama umemkera na anataka kukudhibiti, iwe kwa njia halali au zisizo halali, yeye aliweka wazi kuwa amekuchukia, na wewe mkosoaji utalijua hilo. Lakini awamu hii inaongoza kwa unafiki kwa kiwango cha pekee. Viongozi wanaongelea 4Rs lakini ukija kwenye uhalisia ni kinyume kabisa. 4Rs zinatajwa, bila shaka kuwahadaa wananchi wajisahau, ili waweze kufanyiwa uovu mbaya kwa kabisa, huku wakiwa wamejisahau.

Tuzidi kumwomba Mungu. Nchi yetu ipo kwenye giza nene. Katiba kweli imefanywa ni kijitabu, hakuna mtawala anayeiogopa katiba wala sheria za nchi.

Rais Kikwete, alisema, "......... labda mambo yaharibike sana", sijui anataka yaharibike mpaka ifike hatua gani, ndipo aseme yameharibika sana!!
Kabisa mkubwa tuko kwenye giza zito sana
 
Basi nitakuwa sahihi kusema JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
 
Nchi yetu inapitia kipindi kigumu ambacho hakijawahi kuwepo tangu Taifa liwepo.

Japo kumewahi kuwepo malalamiko mbalimbali kuhusu usalama na haki za watu, lakini hali haijawahi kuwa mbaya kama ya awamu hii.

Kwenye awamu zilizopita, mathalani wakati wa utawala wa Kikwete, Dr Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya, lakini watekaji walifanya kwa siri, kwa kujificha, walimtesa, na hawakumwua. Na wala Kikwete hakuwahi kutoa kauli kuonesha jambo hilo lilikuwa la kawaida.

Kwenye awamu hii pekee, ndipo tumeshuhudia, mtu anatekwa bila hofu, mbele ya watu wengi, mbele ya polisi, anapelekwa kuteswa, anauawa, halafu kiongozi mkuu wa nchi anatoa kauli kuwa kilichofanyika ni jambo la kawaida, na kwamba kifo ni kifo tu. Yaani Rais anataka kutuaminisha kuwa ukifa kwa malaria, Covid 19, typhoid, na ukiuawa na watekaji, vyote ni vifo tu, hatustahili kuhamaki. Hapo ndipo tulipofikia.

2) Hata awamu zilizopita, kuna watu waliwahi kuitwa vituo vya polisi, wakateswa na hata baadhi walifia vituo vya polisi au hospitalini, baada ya kipigo huko vituo vya polisi. Lakini kuna wakati polisi walipoona mtuhumiwa yupo kwenye hali ya hatari, walimkimbiza hospitali ili wao wasiwe watuhimiwa wa kumwua mtuhumiwa. Yote hayo walifanya kwa sababu walikuwa na hofu ya vitendo vibaya walivyofanya. Lakini awamu hii, mtu anaitwa kituoni polisi, anahojiwa, halafu anapotezwa moja kwa moja, huku watu wakijua kabisa kuwa mtuhumiwa alichukuliwa na polisi, na hao wanaofanya hivyo wanajua kuwa wananchi wanajua, lakini hawana hofu yoyote kwa vile wanajua hakuna wa kuwafanya chochote.

3) Wizi wa kura na vitendo vinavyokiuka misingi ya uchaguzi huru na wa haki, vimekuwepo awamu zote, lakini haijawahi kutokea mtu anatekwa na kujeruhiwa wakati wa uandikishaji wapiga kura, tena uchaguzi wa Setikali za mitaa, ni awamu hii pekee ambayo inaongozwa Samia Suluhu Hassan, tunashuhudia vitendo vya kutisha vya kuteka na kujeruhi wakala wa CHADEMA kwa vile tu mtu huyo alikuwa anazuia hujuma wakati wa uandikishaji wapiga kura. Haya yanatendeka huku Waziri wa TAMISEMI kabla zoezi halijasnza, amekwishatamka kuwa kwenye jimbo lake, kunzia wenyeviti wa vijiji na mtaa, mpaka wajumbe wa serikali, watakuwa ni CCM pekee.

4) Idadi ya wakosoaji wa Serikali na Rais, waliokwishatekwa na kupotezwa mpaka sasa kwenye awamu hii, kwa kadiri ya orodha iliyotolewa na chama cha wanasheria wa Tanganyika, TLS, ni kubwa maradufu ya watu waliowahi kupotezwa katika awamu zote zilizopita.
5) Hapo zamani, wakati wa awamu zilizopita, hata mahabusu waliokuwa wanafia vituo vya polisi, karibia wote, walikuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai, lakini awamu hii wanaotekwa, wanaouawa na wanaopotezwa ni wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, watetezi wa uhuru wa maoni, na ama viongozi au viongozi na wanachama wa chama cha upinzani. Hii ni dhahiri kuwa uhalifu huu mkubwa dhidi ya ubinadamu, unafanywa dhidi ya wanaoihoji Serikali na uongozi wa Rais.

6) Awamu ya 5, ya Hayati Magufuli, kama umemkera na anataka kukudhibiti, iwe kwa njia halali au zisizo halali, yeye aliweka wazi kuwa amekuchukia, na wewe mkosoaji utalijua hilo. Lakini awamu hii inaongoza kwa unafiki kwa kiwango cha pekee. Viongozi wanaongelea 4Rs lakini ukija kwenye uhalisia ni kinyume kabisa. 4Rs zinatajwa, bila shaka kuwahadaa wananchi wajisahau, ili waweze kufanyiwa uovu mbaya kwa kabisa, huku wakiwa wamejisahau.

Tuzidi kumwomba Mungu. Nchi yetu ipo kwenye giza nene. Katiba kweli imefanywa ni kijitabu, hakuna mtawala anayeiogopa katiba wala sheria za nchi.

Rais Kikwete, alisema, "......... labda mambo yaharibike sana", sijui anataka yaharibike mpaka ifike hatua gani, ndipo aseme yameharibika sana!!
Hamia Kwa jirani huko Kuna Haki na Katiba Mpya 🤣🤣🤣👇👇

View: https://x.com/bbcswahili/status/1848242854088294621?t=i4ATB3rFS6uThJRDfGgMmA&s=19
 
Back
Top Bottom