Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #81
Wewe unayeona tatizo onesha ni lipi hapo?Ningependa kujua undani wa makuzi yako, mfano jinsi baba yako alivyomtendea mama na dada zako. Najua ukweli kwamba kwa baadhi ya watu wa Musoma kwa mfano, hawawezi kuona tatizo la alichofanya Makonda. Sasa inawezekana kabisa na wewe malezi yako ndio yanakufanya usione tatizo hapa, lakini lipo. Labda fikiria kwamba yule dada angekuwa ni mama au dada yako, ungeona sawa alichofanyiwa?
Ukishauliza hivi tayari una tatizo. Ni sawa na unaitwa na mtu Bush Dokta njoo hapa, halafu unauliza mimi?Wewe unayeona tatizo onesha ni lipi hapo?
PUNGUZA UJINGA WA KUTETEA UJINGAHakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?
Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
Hakika mkuu, na ukiona mtu anashikia bango sana ujue ndio yeye aliyekuwa anataka kumchumbia mkuu wetu wa mkoa 🤣🤣🤣😂😔. Makonda piga kazi, ile ile mpaka boss wako aone aibu.Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Hahaha......kuna shida nyingi zaidi ya hizo mmezikalia mmeshupalia vimaneno tu visivyo na athari yoyote.Mleta mada ana upimbi wa kutosha
Ulaaniwe kwa kushuhudia uongo/kwa kumnena mwenzako sifa mbayaUnataka nitete mwanamke aneregeza sauti mbele ya halaiki na kuongea kama mtoto mdogo? Mbona alivyopandishiwa alianza kuongea sawa.
Yule mwanamke anaonesha kazowea kujirahisisaha na usikute hata hiyo nafasi aliipata kwa kugawa rushwa ya mwili wake. Anaonesha ni moefu wa ulaghai.
Mtoa Uzi wacha kuingilia mambo ya wanawake wale wanajuana.
Msio na akili mnaonekana kwa uwazi kabisa kuna tofauti sana maneno kuongelewa na na kiongozi mbele ya umati na kuongea vijiweni , watanzania wenye akili wanazidi kupungua wanabaki watanzania wenye ufinyu wa akili kabisaa na wewe ni mmoja waoHakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Hiyo ni tafsiri yako wewe, clip wote tumeiona na kafanya ujinga ulio pitiliza ana majivuno sana na ulevi wa madaraka ndio kilemq chake , sijawahi kumkubali makonda hata mara mojaRc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
ni kwasababu mnafanana akili na elimu ndugu. sio kosa lako.Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Aliyewahi kutembelea Hospital ya Longido ajitokeze hapa....Alafu atuambie aliyejenga alikuwa Ni mtaalamu wa ujenzi au Ni shule ya ufundi waliitwa wajifunzie pale?Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Miradi inakuwa ya kisiasa. Longido ifike timu ya ERB kukagua huo mradiAliyewahi kutembelea Hospital ya Longido ajitokeze hapa....Alafu atuambie aliyejenga alikuwa Ni mtaalamu wa ujenzi au Ni shule ya ufundi waliitwa wajifunzie pale?
Kama na wewe una asili ya udhalilishaji au una hiyo hulka huwezi kuona. Haya mambo kuona na kuelewa vizuri mpaka uwe na akili timamu (uwe sober).Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Kmmk utu ni bora kuliko chochoteSioni shida mie kwenye yale maneno. Tunashida zinazozidi hizo na hatuzitatui tusijifanye tunajali.
Makonda anang'aa sanaHakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Awamu ya Magufuli alidhalilisha sana wanawake ila hakuna aliyethubutu kuropokaHakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.
Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.
Watu wasitake kukuza mambo.
Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?
Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.
Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.
Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?
Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?
Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.