Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

Hayo yangefwatwa labda Magu angekuwepo, who knows?
 
Huwezi kupigana na Yale maelekezo na kazi serikali inayokutuma halafu ukaendelea kutumika
Wenye akili huacha kazi kwasababu ya kutokukubaliana na serikali. Sasa wewe unataka kazi halafu unaipinga so mababu haya
Inanikumbusha Dr. Ndugulile wakati ule wa Magufuli akiwa naibu waziri wa afya. Inasemekana hakukubaliana na namna serikali inakabiliana na Covid 19, akaamua kujiengua. Japokua "sisi" tulichorewa mchoro ionekane kama ametumbuliwa.
 
Inanikumbusha Dr. Ndugulile wakati ule wa Magufuli akiwa naibu waziri wa afya. Inasemekana hakukubaliana na namna serikali inakabiliana na Covid 19, akaamua kujiengua. Japokua "sisi" tulichorewa mchoro ionekane kama ametumbuliwa.
Angejiengua asingekuja tena kumteua tena kwa kumoa uwaziri kabisa
 
Mama anazingua, huyo Angela Kairuki alikwishashindwa utendaji muda mrefu lakini leo eti anamrudisha madarakani. Safu ya wapigaji
Mkuu, kuhusu hili linalolalamikiwa na wengi juu ya kurudia rudia majina yaleyale kwenye teuzi, nadhani tukubali kwamba nchi haiandai "watu wazuri wa kutosha wanaoteulika".

Viongozi wanajikuta wanalazimika kurudiarudia walewale.
 
Ukisikiliza kwa makini suala linaihusu Zanzibar. Msisitizo haupo kwenye kufanya maamuzi kama collective body. Msisitizo upo kwenye hii ni nchi yenye muungano wa serikali mbili. Zote zipo sawa. Suala hapo kuna maslahi ya Watanganyika yapo rehani. Hili koti kuna siku litakua gumu mno kulivaa.
Mapenzi makubwa aliyonayo huyu mama kwa Zanzibar yataiumiza sana Tanganyika kiuchumi!
 
Ukisikiliza kwa makini suala linaihusu Zanzibar. Msisitizo haupo kwenye kufanya maamuzi kama collective body. Msisitizo upo kwenye hii ni nchi yenye muungano wa serikali mbili. Zote zipo sawa. Suala hapo kuna maslahi ya Watanganyika yapo rehani. Hili koti kuna siku litakua gumu mno kulivaa.
Kafie mbali huko
 
Kama kamrejesha kairuki basi tumeishiwa watu wa kutuongoza. Mtu aliyefeli wizara zote
 
Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana.

Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo:
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)

2. Wazingatie kutunza siri.

3. Kutii mamlaka iliyo juu yao kiutendaji na pia kuiishi dhana ya uwajibikaji wa pamoja (lililokubaliwa na serikali, basi limekubaliwa na wote waliomo serikalini). Asiwepo wa "kujitoa" au "kujiweka pembeni" na maamuzi hayo wakati mtu huyo nae ni sehemu ya hiyo serikali.

Kwa maneno na nasaha hizo za Mh. Rais, je kilichomuondoa balozi Mulamula kwenye nafasi yake ni kutokuyatekeleza hayo (insubordination)?
Nchi ilishaingia kwenye mfumo wa tengua na kuteua,

Hii hufanywa makusudi Ili kuwatisha wateule kutii hata ambacho sio sawa,
 
Mulamula alijimwambafai kwenda kuonana na Biden na kuisaliti nchi
Tatizo ubongo siyo kama engine oil unaweza badilisha vinginevyo ungeweka ubongo mpya.Huu unaokuambia waziri kukutana na Biden ni kuisaliti nchi ni sawa na umejaza oil chafu kichwani 💩💩💩
 
Back
Top Bottom