Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana.

Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo:
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)

2. Wazingatie kutunza siri.

3. Kutii mamlaka iliyo juu yao kiutendaji na pia kuiishi dhana ya uwajibikaji wa pamoja (lililokubaliwa na serikali, basi limekubaliwa na wote waliomo serikalini). Asiwepo wa "kujitoa" au "kujiweka pembeni" na maamuzi hayo wakati mtu huyo nae ni sehemu ya hiyo serikali.

Kwa maneno na nasaha hizo za Mh. Rais, je kilichomuondoa balozi Mulamula kwenye nafasi yake ni kutokuyatekeleza hayo (insubordination)?
Kwa hiyo Samia anahusika na utekaji na mauaji yaliyokuwa yakifanywa na Magufuli?
 
JK alikuwa mvumulivu na mwenye subira sana otherwise angefukuza mawaziri wengi

imagine Waziri Sofia Simba na Balozi Chikawe dakika za mwisho na ile pressure pressure ya Lowassa lakin alibaki mtulivu
 
Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana.

Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo:
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)

2. Wazingatie kutunza siri.

3. Kutii mamlaka iliyo juu yao kiutendaji na pia kuiishi dhana ya uwajibikaji wa pamoja (lililokubaliwa na serikali, basi limekubaliwa na wote waliomo serikalini). Asiwepo wa "kujitoa" au "kujiweka pembeni" na maamuzi hayo wakati mtu huyo nae ni sehemu ya hiyo serikali.

Kwa maneno na nasaha hizo za Mh. Rais, je kilichomuondoa balozi Mulamula kwenye nafasi yake ni kutokuyatekeleza hayo (insubordination)?
Kwa dhana ya uwajibikaji wa pamoja tuambiwe ni nani aliyeifunga nchi hata mwingine adai anaifungua wakati serikali yao na ilani waliyokuwa wanaitekeleza ni moja? Tuongee mengine lakini hii dhana ya uwajibikaji wa pamoja bongo haipo!! Ikiongelewa tozo anatupiwa zigo Mwigulu Nchemba, wengine wanakaa pembeni na mwingine anajifanya kuwatetea wananchi!! Ikiongelewa ukatikaji wa umeme anatupiwa zigo Makamba!! Kwa sasa bandari ya bagamoyo inashika kasi na zigo la kukwamisha anatupiwa mwendazake! Hii ndio bongo, kila kitu ni movie!
 
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)
yeye anaongoza kuvunja Katiba na sheria. Halima Mdee na wenzake wanafanya nini bungeni? Huyu mama kumbe hajitambui!
 
Hivi hizo siri wanazotaka zitunzwe ni zipi?.kwamba sisi wananchi hatutakiwi kuzijua?Au ndiyo mikataba ya kifisadi?
 
Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana.

Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo:
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)

2. Wazingatie kutunza siri.

3. Kutii mamlaka iliyo juu yao kiutendaji na pia kuiishi dhana ya uwajibikaji wa pamoja (lililokubaliwa na serikali, basi limekubaliwa na wote waliomo serikalini). Asiwepo wa "kujitoa" au "kujiweka pembeni" na maamuzi hayo wakati mtu huyo nae ni sehemu ya hiyo serikali.

Kwa maneno na nasaha hizo za Mh. Rais, je kilichomuondoa balozi Mulamula kwenye nafasi yake ni kutokuyatekeleza hayo (insubordination)?
Insubordination doesn't refer to all those stuffs.
 
Uteuzi sawa,
CCM sawa.
Ila kwa nini ni walewale?.

Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana.

Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo:
1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Amesisitiza ni pande zote mbili za Muungano)

2. Wazingatie kutunza siri.

3. Kutii mamlaka iliyo juu yao kiutendaji na pia kuiishi dhana ya uwajibikaji wa pamoja (lililokubaliwa na serikali, basi limekubaliwa na wote waliomo serikalini). Asiwepo wa "kujitoa" au "kujiweka pembeni" na maamuzi hayo wakati mtu huyo nae ni sehemu ya hiyo serikali.

Kwa maneno na nasaha hizo za Mh. Rais, je kilichomuondoa balozi Mulamula kwenye nafasi yake ni kutokuyatekeleza hayo (insubordination)?
 
Back
Top Bottom