Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbegu kuwa nyepesi ina sababu nyingi.Hebu mshauri kwanza mwanaume mwenzio hili tatizo lake naona ana mbegu nyepesi sana
Jini lenyewe unalo basi? Labda kunguni tu😂😂Haniachiii ng’oooo na akiniacha namtupia jini shenzi zake
Oooh unajua mimi sio mwepesi kuchepuka, lkn kwa mdomo nachepuka sana hata hapa jukwaani tu nimechepuka sana leo😂Jana umechepuka hilo halina ubishi
Hizo baby baby mbona nyingi sanaNimekupenda kwa moyo wangu wote baby😂😂
Na wewe kinahitaji budding au chenyewe huwa kinajitahidi kupenetrate ndani ndani huko😁😁😁Mi mwenyewe nipo na kiba100 changu hapa najiwazia🤣🤣🤣🤣
Unaumwa nyongo weweHuna utu.
Kikikutana na kina kirefu unakuwa mtihani mkuu🤣🤣🤣Na wewe kinahitaji budding au chenyewe huwa kinajitahidi kupenetrate ndani ndani huko😁😁😁
Kwani mnafahamiana?.Vijana hamna siri kabisa, unagegeda demu wako halafu unakuja kusimulia public, kama ni hivyo usiishie JF tu chukua kipaza sauti upite pale kariakoo utangaze unavyo mgegeda demu wako.
Acha kujifanya hujaelewa🤣🤣Nini hiyo tena inayonitosha
Mmetulizana wapi huyo mkeo kila saa anadai hata humfikishi?.Tumetulizana na huba letu wala hatuangalii mtaa wa saba!!