Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.

Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari (maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?

Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.
 
Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.

Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari ( maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?

Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.
Mashindano ya Quran sio kamari.

Kama jambo hulijuwi uliza kwanza usije ukageuka kituko mitandaoni.
 
Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.

Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari ( maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?

Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.
Wapigaji wanatumia kila fursa kupiga hela za wajinga na mbaya zaidi kuna watu wanapenda sana kuaatumia
 
Hiyo ni tuzo bana

Kamari inaingiaje hapo?

Mashindano ya Quran sio kamari.

Kama jambo hulijuwi uliza kwanza usije ukageuka kituko mitandaoni.

ubashiri na mashindani vinafanana?

Kubashiri ndy kamari ,
Ila mashindano sio kamari.
Hivi mnaamini mimi sina akili timamu? Sizungumzii zawadi za washindi wa kusoma Quran, bali kuna kamari kama ya tatu mzuka inachezeshwa wapo watakaoshinda simu, pikipiki, bajaji na gari mbili.

Eleweni hivi nilivyotaja havihusiani na wanaoshinda kusoma Quran hao wana zawadi zao nje ya hizi zinazoshindaniwa kwa njia ya kamari.
 
Back
Top Bottom