Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

Hyo hapo.lete point yako
Soma hapa kwa lugha ya Allah.

وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِ‌دُهَا وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِ‌دُهَا
 
Soma hapa kwa lugha ya Allah.

وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِ‌دُهَا وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِ‌دُهَا
Surat Mariam 19:71 bila kuchakachuwa inasema waislamu wote wanakwenda motoni.
 
Kwa hiyo wewe ni muovu?Au hujui maana ya wema?Si ulidai Quran ni rahisi sana kuihifadhi?Au una double personality hata hujui unachoandika?
Mwema ni Mungu peke yake.
Sisi viumbe wengine tunaishi kwa kutubu dhambi zetu za kila siku.
Mnaposema Kuna Majini mema Mnakufuru.

Marko (Mar) 10:18
Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema?
Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.

Kuyaita Majini kuwa ni Mema ni kumkufuru Mungu.
Majini yamewatapeli.
 
Surat Mariam 19:71 bila kuchakachuwa inasema waislamu wote wanakwenda motoni.
Yaani ni lazima wafike Jehanamu halafu ndio waokolewe kutokea huko.

وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

(MARYAM - 71)
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia Jehannamu, Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
ثُمَّ نُنَجِّي الَّذِينَ اتَّقَوا وَّنَذَرُ الظَّالِمِينَ فِيهَا جِثِيًّا

(MARYAM - 72)
Kisha tutawaokoa wale walio mcha Mungu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
......
Aliye waahidi hivyo alianza kuapa kwa Mola wake kwanza.
.........
فَوَرَبِّكَ لَنَحْشُرَنَّهُمْ وَالشَّيَاطِينَ ثُمَّ لَنُحْضِرَنَّهُمْ حَوْلَ جَهَنَّمَ جِثِيًّا

(MARYAM - 68)
Basi naapa kwa Mola wako Mlezi! Kwa yakini tutawakusanya wao pamoja na mashet'ani; kisha tutawahudhurisha kuizunguka Jahannamu, nao wamepiga magoti!
......
Huwa simwelewagi kabisa anaye sema anakielewaga hicho kitabu.
Hata haijulikana nani anaapa kwa nani.
 
Yaani ni lazima wafike Jehanamu halafu ndio waokolewe kutokea huko.

وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

(MARYAM - 71)
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia Jehannamu, Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
ثُمَّ نُنَجِّي الَّذِينَ اتَّقَوا وَّنَذَرُ الظَّالِمِينَ فِيهَا جِثِيًّا

(MARYAM - 72)
Kisha tutawaokoa wale walio mcha Mungu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
......
Aliye waahidi hivyo alianza kuapa kwa Mola wake kwanza.
.........
فَوَرَبِّكَ لَنَحْشُرَنَّهُمْ وَالشَّيَاطِينَ ثُمَّ لَنُحْضِرَنَّهُمْ حَوْلَ جَهَنَّمَ جِثِيًّا

(MARYAM - 68)
Basi naapa kwa Mola wako Mlezi! Kwa yakini tutawakusanya wao pamoja na mashet'ani; kisha tutawahudhurisha kuizunguka Jahannamu, nao wamepiga magoti!
......
Huwa simwelewagi kabisa anaye sema anakielewaga hicho kitabu.
Hata haijulikana nani anaapa kwa nani.
Kwahiyo tunakubaliana waislamu wote wanakwenda motoni.
 
Duuuh...

Wewe mwanachama mwandamizi wa JF unakuwa kama mtoto wa "kindergaten" ?!! [emoji1787][emoji1787]

Kama si maneno ya kusikia kikasuku ,hebu tuwekee hiyo aya inayosema MPIRA ni haramu.....
Funua ile aya inayohusu nguruwe kila kilicho haramu utakikuta hapo.
 
NDIYE MATOLA BIN PHD ZA KANISA HIZO umchukulie tu

Mimi kuna maswali nilimuuliza kuhusu biblia kanikimbia
NJOO TUULIZANE NA MIMI. JE WEWE UMEOLEWA? UKIWA NA MIAKA MINGAPI? UNA MTOTO WA KIKE? NIKIJA KUTAKA MWOA AKIWA NA MIAKA 9 UTANIOZESHA? UNA MDOGO WAKO WA MIAKA 9?NAWEZA MWOA? JE YULE MTOTO WA KIUME AMBAYE HAKUNYONYA MAZIWA YA MAMAYE AKAWA ANANYONYA ULIMI WA MUDY AFYA YAKE ILIKUAJE MWISHONI?
 
Hivi mnaamini mimi sina akili timamu? Sizungumzii zawadi za washindi wa kusoma Quran, bali kuna kamari kama ya tatu mzuka inachezeshwa wapo watakaoshinda simu, pikipiki, bajaji na gari mbili.

Eleweni hivi nilivyotaja havihusiani na wanaoshinda kusoma Quran hao wana zawadi zao nje ya hizi zinazoshindaniwa kwa njia ya kamari.
Unamaanisha hizo kamari zinachezwa hapo hapo laivu mbele ya Masheikh au kwa namna gani yaani?
 
Nilikua nasubir comment watu hawaelewi hayo mashindano yamekua sehemu ya kuchota pesa za wadhamini hata uislamu kuna akina mwamposa japo wao sio watu wamiujiza
Wanaodhamini hayo mashindano ni wazito wazito kama wakina Mo dewji,Azam,Marais wastaafu sio kutoka kwa watu wanyonge
 
Usijali mkuu hayo n mambo ya kawaida kwa Waislamu, mana kuran inasema mpira wa miguu ni haramu ila huko kwenye nchi yenye Uislamu yao wana ligi na Ronaldo yupo anacheza pamoja na Madina na Macca kuwepo huko
Hili ndo tatizo la watu wasiofikiria, mleta mada aliweka wazi hakuna kukashifu dini ya mtu! Kwanini binadam unabehave kama mnyama?
Wareno walileta ukristo hapa Afrika, inamana tukiona wareno wanafanya tofauti na biblia tuseme ukristo unaruhusu? (Though sijasema kama mpira umekatazwa, kwa kichwa chako kidogo ungefika huko)
Umepewa kichwa fikiria kama binadam wacha kuwa negative brother
 
Sijajibiwa mpaka leo mkuu.
Huwezi kupima dini kwa matendo ya mtu mwingine, Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu sheria haziwekwi na watu. Anaweza kuwa shekhe, wanaweza kuwa Bakwata lakini haimaanishi wanachokifanya ndio sahihi. Pope Francis ameruhusu kanisa katoliki kutoa baraka kwa ndoa za jinsia moja! So, tuseme ukristo unaruhusu pia???
Sisi Waislam tunaamin kila mtu anawajibika kuitafuta elimu. Usipoitafuta madhara yake ndo kama hayo utafata mihemko ya watu
 
Surat Mariam 19:71 bila kuchakachuwa inasema waislamu wote wanakwenda motoni.
Ulianza vizuri unakuja kuharibu, mjadala wako haukutakiwa kuongelea vitu usivyovijuwa kuhusu dini za watu.
Surat Maryam,
19:69 Kisha kwa yakini tutawatoa katika kila kundi wale miongoni mwao waliozidi kumuasi Mwingi wa rehma (Allah)
19:70 Tena sisi tunawajua vyema zaidi wanaostahili kuunguzwa humo
19:71 wala hapana yoyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya mola wako mlezi ambayo lazima itimizwe
 
Huu mdahalo ni wa kipuuzi sana. Hakuna chochote kinachoendelea zaidi ya kukashfiana.
I'm out!
 
Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.

Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari (maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?

Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.

Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.
 
Back
Top Bottom