Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

Teleban wamepiga marufuku sauti ya mwanamke kusikia popote. Iwe ni kuimba, kusoma quran au vyo yote vile. Hata ukiwa kwako usisikike nje ya nyumba yako.. Sijui wangekuja uwanja wa Taifa hapo hata Bi Kizimkazi angepigwa mijeledi ya kutosha. Kwani alikuwa Uchi kwa mujibu wa sheria za Taleban.
 
Kamali imetokana na nini iwapo watu hawajachangishwa chochote kinachotokea ni kuwa drone inapiga picha swhemu soyote ya uwanja ikikumulika kwa muda hadi kufikia kupunga mkono unakua umebahatika zawadi.
 
Kama uliyoyasema ni kweli basi hiyo ni kamari na sio sahihi, ila kwa bakwata tegemea lolote
 
Yawezekana unahoja ya msingi ila hajayaweka vizuri maelezo yako wengine tupo bize tulikosa mda wa kuangalia hayo mashindano

Ilitakiwa ufanye Nini Ili upate hizo zawadi? Lakini pia kamari sio zawadi

Au katika wadhamini na wachezesha kamari walikuwepo?
 
Usijali mkuu hayo n mambo ya kawaida kwa Waislamu, mana kuran inasema mpira wa miguu ni haramu ila huko kwenye nchi yenye Uislamu yao wana ligi na Ronaldo yupo anacheza pamoja na Madina na Macca kuwepo huko
Si ni Sawa na Papa kuruhusu ushoga tu, unahisi madina na Makkah hakuna watenda dhambi?
 
Na aliyeongea na Shekhe tena n maarufu huko mitandaoni ila simjui jina, kwahy mtajuana wnyw huko wenye Uislamu wenu.
Wewe ni mzushi.Shekhe maarufu humjui jina lakini unajua aliloharamisha?Unataka tuamini ujinga na uzushi wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…