Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga Sasa mume anajenga kwako kwa wazaz wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa

Mm nadhni mke Yuko sahih kwa kumjali Bab ake Kwanza zilioni shida kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani cc wanaume hatujasomeshwa na baba zetu?.wanawake wanaroho flani za kuwa na wasiwasi na waumezao.wangeliamuaga jambo 1 tu kukaa tu kwao na ndg zao wakatafuta wanaume wa kuwazaliasha tuu ili waenjoy maisha wanayotaka
 
Tuishi nao kwa akili! Chunguza zaidi yaweza tokea wewe ukaandika mkopo ukaulenga kuboresha familia yenu ( wewe mke na watoto) chunguza mkopo wake atauelekeza kusaidia / kujengea wazazi wake! Hawa ndio wanawake zetu, TUISHI NAO KWA AKILI
Unebahatika kupata mtoto?
Je umemsomeshha?

Je huoni fahari mwanao wakike akikusaidia?

Au utajisikiaje mtoto wako wa kike uliyemgharamia akija kuolewa au kuwa na familia yake umuombe chochote na akakunyima...?
Fikiria kama mzazi na usifikiri tu kama vile ni ka girlfrend kako
 
Sasa cha ajabu nini?? Ni wapi uliona mwanamke anamweka mume kama mrithi my friend. Mimi ni mtumishi sijawahi kuona.. Hata uwaaulize au kuwashauri huwezi kubadirisha hiyo mitazamo yao..

So why ukae uumize kichwa kwa vitu none sense. Unajua wazi kwa nini huwa wanafanya hivyo. Kwa hiyo usiumize kichwa. Au una uhakika atatangulia kufa yeye? If not why bother?

Wote ndio Hali hiyo hiyo na maisha ya naendelea tena kwa furaha na Amani.
Kwani akitangulia wewe utashindwa kutunza watoto mpaka uwe concern na nini aliandika?

Baada ya kifo wanaotesekaga ni wajane (Wanawake) na sio wagane.

Mwanamke anaamini yeye akifa utaoa mke mwingine ambaye ndiye atakayekuja kula vyote alivyochuma au mlivyochuma pamoja na atawanyanyasa watoto wake aliowaacha.... Na wanaona mifano hai kila siku na ni kweli.

Sasa utatumia mbinu ipi kumwaminisha kuwa kwako haitakuwa hivyo?

Kumbuka mwanaume ndio mwenye maamuzi ya kuoa au kuto oa.. Tofauti na mwanamke akifiwa kuolewa ni ngumu sana Maana Hana maamuzi juu ya mwanaume. Labda achukue viserengeti. Ingawa wapo wachache wanao olewa tena.

So relax chapa kazi, lea familia achana na hivyo vitu vidogo kama you're machured enough kwenye ndoa.

Jenga future bora ya familia yako hata usipo kuwepo una uhakika hakuna kikaragosi kutoka kwenye ndugu zako atakae ingilia future na rasilimali ulizoacha vinginevyo usipoteze muda na akili.

Wanaume ndio tunaopaswa kujenga Mifumo ya kuaminika na wenzi wetu vinginevyo mtaishia kuharibu ndoa.

Njia ya kwanza ni kudhihirisha kwa vitendo kuwa huna na huhitaji chochote chake(isipokuwa responsibilities za kawaida kwenye family, mahitaji, maendeleo, Ada etc.) lakini Mali no no.. Jinsi ambayo utakuwa huonyeshi interest kwenye maeneo hayo ndivyo atakavyo kuamini na kukabidhi mwenyewe Mali na mirathi.

Kadiri unavyoonesha interest kwenye vitu hivyo ikiwemo mirathi uliyo Sema ndivyo atazidi kuikimbiza mbali nawe Maana ni Ishara ya kutoaminika.

Be Gentle man my friend utaishi kwa raha, Amani na furaha na mkeo.
Sambamba na yote hayo uliyoongea Mimi binafsi nimekuelewa mnoo. Nitatekeleza ushauri wako Mzee.
 
Asilimia kubwa wanawake hawaandiki wanaume kama warithi wao! Nilifanikiwa kufanya hii kazi ya kupeleka taarifa za next of kin pale ofisini kwangu nikaliona hilo! Ila haina shida hata asipokuandika kama mrithi wake pale kunapotokea kifo mume au MKE ndo anapewa kipaumbele kama mna ndoa halali!
Kwani next of kin inahusiana nini na urithi. Mimi ninachojua ni kwa ajili ya dharura, ikitokea ajali etc watu wa karibu kuwapata. Mambo ya mirathi mmoja wa mwenza akifa yanatuliwa na sheria ya mirathi.
 
Kashakusoma una tamaa kijana endelea kuishi tu. Anyway aandike wangapi Kuna wewe ana kiben ten na kijamaa kipo nae ofisi moja bora aandike mzee wake kukata mzizi wa fitina.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daahh pole sana

Hadi hapo nadhani umeshaijua rangi ya huyo mkeo , kama Mimi ndiye wewe nakwenda kubadilisha na ya kwangu haraka sana
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Weww pia badilisha weka wazazi wako na watoto wako then mfanye auone
 
Yaani shda inakuja pale ambapo mmoja akitangulia mbele ya haki, akitangulia mke Mme Hana shda coz hakuna atakayefatilia Mali zilizobaki lakini akitangulia Mme kama hakuna nyaraka za urithi ndugu wa Mme huja juu kiasi hata cha kumfukuza kwenye nyumban yake, nawatoto hubaki ktk shda kama mama hajiwez kiuchumi, Mali zote hugawana ndugu, so no afadhali uwaandike mke na watoto , maana ukiwaandika watoto bila mke ndugu wa mume wanaweza kumchukua Mali wakisema watoto tutawalea na kwamba Mali wanazisimamia matokeo yake hua tofauti, so ata usiumize kicwa acha kma ulivyoandika Kwa manufaa ya watoto wako bila kujali Mali za mke wako
 
Kwani next of kin inahusiana nini na urithi. Mimi ninachojua ni kwa ajili ya dharura, ikitokea ajali etc watu wa karibu kuwapata. Mambo ya mirathi mmoja wa mwenza akifa yanatuliwa na sheria ya mirathi.
Kuna mwanasheria nilimsikiliza alisema aliyeandikwa namarehem kama mrithi huyo ndiye mrithi atakayetambuliwa, na kama hakuandika mrithi basi warithi ni mke na watoto, lakini watachgua mtu wakusimamia hizo Mali kutoka katika ukoo nahapa ndipo tabu huanzia, maana wasimamizi wengi hua sio waaminifu
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Huna ndoa mnavumiliana tu. Kuna mjanja pia anampiga miti mke wako.
 
Kuna mwanasheria nilimsikiliza alisema aliyeandikwa namarehem kama mrithi huyo ndiye mrithi atakayetambuliwa, na kama hakuandika mrithi basi warithi ni mke na watoto, lakini watachgua mtu wakusimamia hizo Mali kutoka katika ukoo nahapa ndipo tabu huanzia, maana wasimamizi wengi hua sio waaminifu
Nadhani wosia ndio unatambulika kisheria. Ofisini sijui kama kuna mambo ya kuandika mrithi wako. Labda huko serikalini. Ofisini kwetu kiinua mgongo anapewa mwenza wako tu, kama amefariki wanapewa watoto. Hizo za NSSF ndio hawahusiki nazo.
 
Summary assessment ya kusomesha mtoto private school, Primary school miaka 7 ni million 14, secondary school miaka 4 ni million 20, high school million 10, jumla ni million 44 hayo ni makadirio ya chini nje ya malezi mengine.

Watoto wa kike wanaijuwa thamani ya Baba Ila mitoto ya kiume kazi kujipendekeza ukweni tu.

Next time jifunze kuheshimu mtu anayeitwa baba, hata wewe ukikuwa utajuwa mababa wame sacrifice vingapi mpaka unakuja wewe bitoz nyangema ndio unaiona pisi Kali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli mwanamke ni self centered being. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo mwanaume kazaliwa na degree mkononi. Privilege unazopewa mwanamke usiwe too much entitled nazo ni huruma tu, tumeona wanawake waliofanya upumbavu usioweza kuuamini. Hakuna jinsia isiyopitia makuzi, malezi na shida. Haupo peke yako duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajiangaisha bure tu, wewe ndio utaanza kufa na yeye ndio mrithi hata usipomuandika kwenye makaratasi, mahakamani mirathi atapewa mke wako na watoto.

Nina uhakika mkubwa wewe ndio utatangulia kufa mke utamuacha.
Huku ni kumchawia mwenzako sasa[emoji23][emoji23]
 
Sasa cha ajabu nini?? Ni wapi uliona mwanamke anamweka mume kama mrithi my friend. Mimi ni mtumishi sijawahi kuona.. Hata uwaaulize au kuwashauri huwezi kubadirisha hiyo mitazamo yao..

So why ukae uumize kichwa kwa vitu none sense. Unajua wazi kwa nini huwa wanafanya hivyo. Kwa hiyo usiumize kichwa. Au una uhakika atatangulia kufa yeye? If not why bother?

Wote ndio Hali hiyo hiyo na maisha ya naendelea tena kwa furaha na Amani.
Kwani akitangulia wewe utashindwa kutunza watoto mpaka uwe concern na nini aliandika?

Baada ya kifo wanaotesekaga ni wajane (Wanawake) na sio wagane.

Mwanamke anaamini yeye akifa utaoa mke mwingine ambaye ndiye atakayekuja kula vyote alivyochuma au mlivyochuma pamoja na atawanyanyasa watoto wake aliowaacha.... Na wanaona mifano hai kila siku na ni kweli.

Sasa utatumia mbinu ipi kumwaminisha kuwa kwako haitakuwa hivyo?

Kumbuka mwanaume ndio mwenye maamuzi ya kuoa au kuto oa.. Tofauti na mwanamke akifiwa kuolewa ni ngumu sana Maana Hana maamuzi juu ya mwanaume. Labda achukue viserengeti. Ingawa wapo wachache wanao olewa tena.

So relax chapa kazi, lea familia achana na hivyo vitu vidogo kama you're machured enough kwenye ndoa.

Jenga future bora ya familia yako hata usipo kuwepo una uhakika hakuna kikaragosi kutoka kwenye ndugu zako atakae ingilia future na rasilimali ulizoacha vinginevyo usipoteze muda na akili.

Wanaume ndio tunaopaswa kujenga Mifumo ya kuaminika na wenzi wetu vinginevyo mtaishia kuharibu ndoa.

Njia ya kwanza ni kudhihirisha kwa vitendo kuwa huna na huhitaji chochote chake(isipokuwa responsibilities za kawaida kwenye family, mahitaji, maendeleo, Ada etc.) lakini Mali no no.. Jinsi ambayo utakuwa huonyeshi interest kwenye maeneo hayo ndivyo atakavyo kuamini na kukabidhi mwenyewe Mali na mirathi.

Kadiri unavyoonesha interest kwenye vitu hivyo ikiwemo mirathi uliyo Sema ndivyo atazidi kuikimbiza mbali nawe Maana ni Ishara ya kutoaminika.

Be Gentle man my friend utaishi kwa raha, Amani na furaha na mkeo.
Asipoelewa hapa basi tena

Heri uachie upande wako mke wana uchungu na wanao kuliko mtu mwingine yoyote upande wa kiumeni
 
Ww ndo hujui mtu wa karibu wako ni mume au MKE kama una ndoa! Hata kwenye urithi ndo huyo anaeangaliwa kwanza !mtu alieowa akifiwa na mumewe mrithi wa kwanza ninmke wake awe ameandikwa au la! Kwa wanaume ndo hivyo hivyo akifa mkeo hata kama hakukuandika kama mtu wako wa karibu au mrithi lazim a Sheria ikutambue tu! Kama unaishi na mke na bado hakufanyi kuwa mtu wake wa karibu ujue Kuna shida ! Na wengi waliofanya hivyo ndoa zao zina shida! Wale ambao wako vzr waliwaandika wenzi wao
 
Mkuu ukiwa na mtazamo huu, ndoa haitofika mbali.

Lazima kuwe na kushirikishana katika hayo, mfanye maamuzi kwa pamoja.

Ukiangalia hapo, mtoa mada kasema wazi walishakubalia nini cha kufanya, ila mke kaleta janja janja na kumzunguka jamaa.

Hilo tu linaweza leta mpasuko sababu hakuna uaminifu hebu.

Swali kwa mtoa mada: ilikuaje ukapata wazo la kukagua karatasi yake? Ana historia ya janja janja?
Anamjua mtu wake
Au kampiga tukio mke so hajiamini
 
Ww ndo hujui mtu wa karibu wako ni mume au MKE kama una ndoa! Hata kwenye urithi ndo huyo anaeangaliwa kwanza !mtu alieowa akifiwa na mumewe mrithi wa kwanza ninmke wake awe ameandikwa au la! Kwa wanaume ndo hivyo hivyo akifa mkeo hata kama hakukuandika kama mtu wako wa karibu au mrithi lazim a Sheria ikutambue tu! Kama unaishi na mke na bado hakufanyi kuwa mtu wake wa karibu ujue Kuna shida ! Na wengi waliofanya hivyo ndoa zao zina shida! Wale ambao wako vzr waliwaandika wenzi wao
Ndio shida ya baadhi ya ndoa za kufosi
 
Sababu ni ya kijingaa maana hata wewe utapata mwanaume na anaweza wafukuza hao watoto na wew usiwe na cha kufanya maana unampenda mumeo kuliko hao watoto wa dada yako...!!

Point kubwa wanawake ni Wabinafsi sanaa na wana mawazo ya kipuuzi kudhani mwanaume anawahi kufariki mapema.. kudhani wao ndo wana uchungu sana ana watoto kuliko wanaume...! Pia kwamba mwanaume hana upendo wa kweli leo ukifa anaoa yeyote na mwanaume akifa kwamba mwanamke hatatafuta mwanaume. UBINAFSI UMEWAJAAA NA HILI HALIWEZI BADILIKAA cha muhimi sisi wanaume upate mwanamke mbinafsi ila mwenye Akili..
Sio ubinafsi
Ni nature
Wanaume wanaoa fasta sn wakifiwa
Tofauti na KE
Ndo mana kuna Mungu wa wajane na yatima na sio waume waliofiwa
 
Sio ubinafsi
Ni nature
Wanaume wanaoa fasta sn wakifiwa
Tofauti na KE
Ndo mana kuna Mungu wa wajane na yatima na sio waume waliofiwa
[emoji23][emoji23] kwa hyo hakun Mungu wa wagane mkuu?
 
Back
Top Bottom