Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

We una uhakika gani wako wawili tu? Cha msingi temana nao nyoka hawana shida na mtu labda utake kuwadhuru
Nakutanaga nao sana huko simanjiro Kila mmoja anaenda na hamsini zake
Binafisi na amini wapo wengi lakini kwa mashuhuda wamewahi onekana wawili na huenda huwa huwa wanaona wengine wao wanajua ni haohao wawili. yahitaji moyo sana sema madogo mle mle ndo huenda chungia mbuzi
 
King Cobra chakula chake rasmi ni nyoka wenzake.
Na nyoka wote wenye sumu kali wanaliwa vizuri tu na Cobra.
Tatizo ni kwamba Koboko huwa wanarefuka sana kumzidi king Cobra.
Akiwa mrefu na mnene kuliko na Cobra kesi inakuwa ngumu kwake.
Hii sikuijua na kuna mdau mwingine nimembishia kwa sababu cobra wamo japo sio wengi
 
wewe utakua tabora vijijini uko igombe igombe flani back to the point fuga bundi koboko ndio chakula akipendacho
na ukifuga bundi jiandae kuchomwa moto na wanakijiji kwa tuhuma za uchawi
chagua kuuawa na koboko au wananzengo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ha
wewe utakua tabora vijijini uko igombe igombe flani back to the point fuga bundi koboko ndio chakula akipendacho
na ukifuga bundi jiandae kuchomwa moto na wanakijiji kwa tuhuma za uchawi
chagua kuuawa na koboko au wananzengo
Itabidi akae na wananzengo wajadili isiwe sio badae
 
Chomeni mipira ya tairi za magari chomeni mfululizo siku 7 hawatakaa tena huo msitu watahama kabisa..
Tena mkidondosha na oil chafu ndio kabisa

Tahadhari ukiwasha moto wa tairi muondoke kabisa eneo hilo maana mmeanzisha vita vya 3 vya dunia na hao nyoka..
 
Koboko huwa anagonga kichwani..Wazee walikuwa wanafanya hivi;
Wanachemsha Choroko na zikiwa zimeiva na za moto..zinawekwa kichwani zikiwa za moto kwa mtu mwenye ujasiri anaenda eneo alilokuwepo huyo Nyoka na kumchokoza...si atakuja kwa hasira na kumgonga mhusika kichwani...hapo atakuwa ameingiza kichwa chake kwenye chungu cha Choroko za moto na kufa.
Ila..yataka Moyo.
 
Nakumbuka ile story ya zamani, mtu alijitishwa jungu la uji wa moto akapita nalo msituni alipo, akajitokeza amkonge kichwani akayavaa mauji ya moto akafa.
hiyo ni kubetia maisha yako mkuu

huku kazini kuna motto wetu huwa tuna sema ZERO HARM{ KUTOKUPATA MADHARA} yaani unapotoa msaada hakikisha kwanza wewe mwenyewe upo safe
 
Binafisi na amini wapo wengi lakini kwa mashuhuda wamewahi onekana wawili na huenda huwa huwa wanaona wengine wao wanajua ni haohao wawili. yahitaji moyo sana sema madogo mle mle ndo huenda chungia mbuzi
NYoka wenye sumu Kali huwa Wana ai bu sana unaweza Kuta wanakuona Kila siku ila wanajisepea zao kujificha!

Nyoka ambaye ana hatari zaidi shambani ni puff adder na Hawa vipers mara nyingi hupendelea kutulia sehemu Moja hasa kwenye njia kuota jua hivyo ikitokea kumkanyaga imeenda iyo
Ila Hawa wa elapidae family akina koboko,boomslangs na cobra wanatimua mbio! Unless uwabane wakose namna ya kusepa ndio wataanza kujilinda kwa sumu zao
 
Hiko ndo nawaza nikifanye pamoja na mayai ya kuchemsha
 
nakubali
 
hapo ni kubetia maisha asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…