Wewe ushawahi uliwa na pakapaka unaweza ukamuua ma yeye piah anaweza akakuua vizur tu lkn piah paka ni rahis kumuua nyoka koboko sababu n paka anauwezo wa kuona mkubwa sna...nyoka akijaribu kushambulia kwa kasi paka anamuona kama unavoona slow motion ya vidio ndo maana anamzaba makofi na makucha mpaka anaded😂🤣😅😆😁😄
UsithubutuPaka usiweze kumuua huo ni uongo, sema binadamu tuna ubinadamu tu na uwoga sana ila ukizamilia paka sio wakusema hawezi kuuliwa na binadamu mwenye kilo 60Kg na paka kilo sijui 6Kg.
Mimi binafsi hata kumminya paka inanikereketa akilini so suala la Human psychology n Humanity ila nikiondoa huo ubinadamu paka hawezi survive shambolic langu kamwe
RubbishUsithubutu
Black mamba anadhibitiwa kwa namna nyingi. Ila sisi wabongo tunamtukuza na kuona kwamba ni nyoka asiedhibitika, wakati kiuhalisia kuna njia nyingi za kumdhibiti na kuuwawa kwake.Hata paka inaweza mdhibiti black mamba.
Ndio hapo sasa, inabidi akwepe mkojo akanyage ma.vi, siku ziende 😂😂Hata kama unavyosema ndio suluhidho huyo king cobra naye si yatakua yaleyale tu.
Nakuomba uingie google uandike "who is a king of snakes in the world" alafu uone utapata jibu gani.Kuna kipindi huwa naangalia kwenye channel ya Natio Geographic Wild kinaitwa Snake in the City,kwa jinsi Black Mamba anavyoongelewa mule kama nyoka hatari zaidi barani Afrika,lakini wewe kwenye comments zako ni kama una mu underate nashindwa kuelewa,je ni kweli hata wale jamaa wa snake in the city ambao wana elimu kuhusu nyoka ni wana mu overate?
Nakuomba uingie google uandike "who is a king of snakes in the world" alafu uone utapata jibu gani.Kuna kipindi huwa naangalia kwenye channel ya Natio Geographic Wild kinaitwa Snake in the City,kwa jinsi Black Mamba anavyoongelewa mule kama nyoka hatari zaidi barani Afrika,lakini wewe kwenye comments zako ni kama una mu underate nashindwa kuelewa,je ni kweli hata wale jamaa wa snake in the city ambao wana elimu kuhusu nyoka ni wana mu overate?
Hakuna shida mkuu, nyoka kwake ni porini na huko ndo maskani yake na ukitaka kum-disturb ndo utaangamia. Yaani mpaka umefika hapo kwenye msitu wako umewapita nyoka kibao sema Kwa kuwa hujawashitukia unaamini huko kwenye mashamba mengine hakuna nyoka.lengo langu nataka kuanzia mradi wa ufugaji nyuki mkuu na kama ujuavyo lazima uende kuangalia kila mara
Mwenzio kesha wahi na amechagua pori hilo. Ww siku zote ulikuwa wapi? Mapori si yapo mengi tuu - Katafute pori lingine (utani lakini)tunatafta kuwekeza na sivingine mkuu kama ataweza hama kwa hairi yake bila shurti wala sina mpango nae aende salama mapori ni mengi sana
Katika kila jambo exceptional zipo, unaeza kuta paka amelala akagongwa, fuatilia google is free, paka ana kasi mara 2 ya black mamba, usimchukulie poa kabisa.Mkuu kwa paka sina uhakika, fuatilia kile kipindi cha snake city.
Mara nyingi sana paka anakuwa target kwa hayo madude. Black mamba ni mkubwa na ana kasi kwa paka ni ngoma nzito.
Nipe ushahidi kulingana na experience yako niendelee kujifunza mkuu.
Huyu lazima atakua anaweza! Ndugu zake flani hivi wapo miono hko ndo kazi zao hizi,JK vipi?
Ushauri umetulia huuFyeka msitu atahama hapo arudi ndani zaidi, tofauti na hapo mali asili hawawezi kusaidia kuondoa kiumbe ambacho hakina madhara kwenye makazi yenu hadi ukifuate polini.
Nampataje huyu nguchiro
Dah! Hebu kumbuka aisee umsaaidie mdau. Ingekuwa ni wale nyoka wanaoingia ndani angelitumia mti wa mwitanjoka (Mkunde pori) (Kwa kuuchoma ndani ya nyumba) au kuchoma asali ya nyuki.Kuna miti Fulani huwa mvua ikinyesha hutoa harufu Fulani inayofukuza nyoka... jila LA hiyo miti nimesahau.
Ila ukienda kwa wataalam watakupa maelekezo, hiyo miti ni uzio mzuri wa nyoka.
Nitatafuta nipost humu, nimewahi kuishi porini katikati ya mlima sikuwahi kuona nyoka sehemu ya makazi ya Watu, Lakini kwenye mlima kila siku Tulikuwa tunapishana nao.Dah! Hebu kumbuka aisee umsaaidie mdau. Ingekuwa ni wale nyoka wanaoingia ndani angelitumia mti wa mwitanjoka (Mkunde pori) (Kwa kuuchoma ndani ya nyumba) au kuchoma asali ya nyuki.
Mti unaotoa harufu mvua ikinyesha labda ni mvunja genge?
Hata mini nawatakaTafuta moogoose...au nguchiro ndio kiboko yake...