Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
huku kuna mijitu mijinga yani inalazimisha maana sizo kwa neno uzinzi na uasherati
Uzinzi ni kwa mwanandoa aliyechepuka
Uasherati ni kwa watu waliojamiiana na hawana ndoa
ngoja niwagoogle ie ili muelewe maana nyie ni vizazi vya google Ni tofauti gani kati ya uasherati na uzinzi?
Kama hamjaelewa na hapo basi.
Ila ndoa ya KIKRISTO nadhani ningependa kuzungumzia za Katoliki hata kama mke au mumeo kalala mara mia mbili ndoa haiwezi kuvunjwa hata siku moja. Ndoa inayovunjwa kirahisi ni ndoa ambayo haknashiriki tendo la ndoa na bado kanisa linaweza kuvunja hiyo ndoa ukakaa kifungoni hata miaka miwili ndo upate kibali cha kuoa tena. .
Ndoa inaweza kuvunjwa pia kama mke na mume mna matatizo ya kimaumbili, mfano penis kubwa sana mwanamke anashindwa kufurahia tendo au vagina ndogo sana mwanaume anashindwa kuingiza uume. Ila kanisa halijaangalia wale wanawake wenye nyuke kubwa na mwanaume kibamia. Ndoa hizi mkipeleka malalamiko basi yatapokelea na mnaweza kuta ikavunjwa baada ya miaka hata mitatu mnapewa muda wa kulikabili tatizo. .
Kama hamtaki kufundishwa na hamkuelewa kwa sababu ya ubishi haina haja ya kureply potezea. Ndoa inatenganishwa kwa kifo tu, hayo mengine ni nadra sana hata mkitengana kanisa linawatambua kuwa nyie ni wanandoa. Ngoja niwaongezee neno moja, katika sakramenti za kanisa nyingi zinakuwa anatoa Padri lakini sakramenti ya ndoa ni maagano mnayofanya wewe na mkeo, Padri hausiki yeye anakaa kuwa shahidi wa maagano mnayowekeana kati ya mume na mke. .
Mada nduri, shukrani sana. .
Uzinzi ni kwa mwanandoa aliyechepuka
Uasherati ni kwa watu waliojamiiana na hawana ndoa
ngoja niwagoogle ie ili muelewe maana nyie ni vizazi vya google Ni tofauti gani kati ya uasherati na uzinzi?
Kama hamjaelewa na hapo basi.
Ila ndoa ya KIKRISTO nadhani ningependa kuzungumzia za Katoliki hata kama mke au mumeo kalala mara mia mbili ndoa haiwezi kuvunjwa hata siku moja. Ndoa inayovunjwa kirahisi ni ndoa ambayo haknashiriki tendo la ndoa na bado kanisa linaweza kuvunja hiyo ndoa ukakaa kifungoni hata miaka miwili ndo upate kibali cha kuoa tena. .
Ndoa inaweza kuvunjwa pia kama mke na mume mna matatizo ya kimaumbili, mfano penis kubwa sana mwanamke anashindwa kufurahia tendo au vagina ndogo sana mwanaume anashindwa kuingiza uume. Ila kanisa halijaangalia wale wanawake wenye nyuke kubwa na mwanaume kibamia. Ndoa hizi mkipeleka malalamiko basi yatapokelea na mnaweza kuta ikavunjwa baada ya miaka hata mitatu mnapewa muda wa kulikabili tatizo. .
Kama hamtaki kufundishwa na hamkuelewa kwa sababu ya ubishi haina haja ya kureply potezea. Ndoa inatenganishwa kwa kifo tu, hayo mengine ni nadra sana hata mkitengana kanisa linawatambua kuwa nyie ni wanandoa. Ngoja niwaongezee neno moja, katika sakramenti za kanisa nyingi zinakuwa anatoa Padri lakini sakramenti ya ndoa ni maagano mnayofanya wewe na mkeo, Padri hausiki yeye anakaa kuwa shahidi wa maagano mnayowekeana kati ya mume na mke. .
Mada nduri, shukrani sana. .