Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mkuu alituwekea uzi kabisaWajinga zaidi ni wale wanaopenda kudanganya halafu hawana kumbukumbu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu alituwekea uzi kabisaWajinga zaidi ni wale wanaopenda kudanganya halafu hawana kumbukumbu.....
Ni shida kabisa hii... JF watu wanapenda ku fake saa nyingineAmebadili dini ila bado ni Kiongozi, halafu hata story ya Walawi haijui masikini.
Ahahaaaa... alituambia alibadili dini kuwa muislam, asa iweje leo ni kiongozi wa kanisa???Naanto saa....... Em nenda nae taratbu [emoji16][emoji16]
We si ulibadili dini kuwa muislamu amaa sio wewe??... si uliandika mwenyewe kwenye uzi wakoo??Mkristo hana roho mbaya ya kuweza kunfukuza mtoto wake kisa kuacha njia yake.
Wewe hukunielewa kumbe
Hiyo ni kama brother wangu ni ostadh yupo kilwa luyaya yeye anatumia Quran kutibu hakika anapiga pesa balaaNa uchungaji biashara inalipa sana,baba mdogo mchungaji,kafungua kanisa aisee[emoji706] alianza na kusimika maturubai lkn now bonge la kanisa na nyumba pia kondoo wapo kumtunza mchungaji.
Ulisoma hukuelewa,huyo alikua muislam akabadili kuwa mkiristo,binafsi namjua Hadi ndugu zake wote,aliyefanya abadili dini ni mwanamke wa kichagaAhahaaaa... alituambia alibadili dini kuwa muislam, asa iweje leo ni kiongozi wa kanisa???
Atakua mtu wa kwanza kutumia Qur'an kutibu,ni maajabu,tuelekeze tumtembeleeHiyo ni kama brother wangu ni ostadh yupo kilwa luyaya yeye anatumia Quran kutibu hakika anapiga pesa balaa
🤣🤣🤣😊Nimeshangaa sana hata mimi
umtembelee ili iweje? Huku kilwa huwezi kupita nyumba tatu bila kumkuta shehe anatibu watu na kuandika makombeAtakua mtu wa kwanza kutumia Qur'an kutibu,ni maajabu,tuelekeze tumtembelee
Ilivyo ni kwamba lazima hizi huduma zichangiwe,hatutegemei sheikh aache kutunza wake zake wanne na wanae wale vizuri aende akanunue matairi kwa ajili ya gari ya msikiti kwenda kwenye uwajibikaji wa shughuli za imani wilaya nyengine wakati waumini hawaumizi vichwa.Upo sahihi ndugu, ila hata waislamu nao wameanza kuiga hayo, juzi kati nilikuwa nasikiliza radio ya kiislamu nikasikia wanachangishana pesa ya kununua matairi ya gari ya kiongozi wao.
Akili zenu fupi sana. Nyie ndio hamna kumbukumbu vizuriWajinga zaidi ni wale wanaopenda kudanganya halafu hawana kumbukumbu.....
Imani zingine kifo ndio hukumu Tena ndugu yako anakuua kisa umeacha Imani ya familia ila maajabu ukiwa na pesa hawakutengi Wala kukuua.Mkristo hana roho mbaya ya kuweza kunfukuza mtoto wake kisa kuacha njia yake.
Wewe hukunielewa kumbe
Weka huo Uzi nakupa laki moja au niondolewe jf mileleWe si ulibadili dini kuwa muislamu amaa sio wewe??... si uliandika mwenyewe kwenye uzi wakoo??
Anakula madhabauni kwake ulitaka akabebe zege atahudumiwa watu saa ngapi.Na uchungaji biashara inalipa sana,baba mdogo mchungaji,kafungua kanisa aisee[emoji706] alianza na kusimika maturubai lkn now bonge la kanisa na nyumba pia kondoo wapo kumtunza mchungaji.
Mtafute FaizaFoxy akupe utaratibu wa kufuata kuwa mwislamu. Uoe na wanawake wanneHi!
Mimi ni mkristo, tena ni kiongozi kanisani kwetu.
Hili suala la sadaka liko wazi kabisa kimaandiko. Maandiko yameweka wazi tutoe vipi, tutoe wapi na muda gani.
Ila baada ya Taasisi nyingi kuzaliwa kwa mgongo wa ukristo sasa misingi ya sadaka kibiblia imeharibiwa na mwanadamu anayetaka kulijaza tumbo lake.
Mfano: Fungu la kumi liliwekwa kwaajili ya Walawi ambao walikosa mgao wa ardhi kule Israel. Hawa Walawi hawakuruhusiwa kujishughulisha na mambo yao ya kiuchumi.
Leo hii mchungaji na askofu wana fremu Kariakoo lakini bado hawaoni haya kula 10% ambayo ilipaswa iende kwa maskini.
Ibada moja ina inakuwa na sadaka mpaka 5. Wanabadilisha jina tu au makapu.
Kapu la sadaka ya ujenzi linafanya nini katika kanisa lililoisha ujenzi?
Kila siku ya ibada ni kukumbushana ujenzi tu.
Moja ya Sababu itakayonifanya nifungue huduma mpya ni suala la sadaka.
Dhulma ya wazi kabisa inafanyika. Ikitokea kongamano la vijana au wamama wataambiwa wajigharamie huku kanisa wanalotoka jumapili Moja tu millioni zaidi ya 2 zinakusanywa.
Hawa manabii na mitume pamoja na makuhani wa mchongo ndo usiseme. Hao Kila siku ni ibada na machangizo.
Uchungaji si kazi ya waliokosa ajira na mitaji.
Kombe ndiyo Qur'an!?..mkikuta hata gazeti la kiarabu mtadai ni Qur'an,Kuna biblia za kiarabu jamani,siyo kila kinachoandikwa kiarabu ni Qur'anumtembelee ili iweje? Huku kilwa huwezi kupita nyumba tatu bila kumkuta shehe anatibu watu na kuandika makombe
Imani zingine kifo ndio hukumu Tena ndugu yako anakuua kisa umeacha Imani ya familia ila maajabu ukiwa na pesa hawakutengi Wala kukuua.
karibu hapa msikitini tuswali kila siku....ili baadae tukakae na majini peponi na tuburudike na wanawake 70 wenye macho ya vikombe...huku tukinywa kwenye mito ya pombe huku hakuna sadaka za ovyo kama kwenye makanisa ya ovyo ya upako sijui mitumeHi!
Mimi ni mkristo, tena ni kiongozi kanisani kwetu.
Hili suala la sadaka liko wazi kabisa kimaandiko. Maandiko yameweka wazi tutoe vipi, tutoe wapi na muda gani.
Ila baada ya Taasisi nyingi kuzaliwa kwa mgongo wa ukristo sasa misingi ya sadaka kibiblia imeharibiwa na mwanadamu anayetaka kulijaza tumbo lake.
Mfano: Fungu la kumi liliwekwa kwaajili ya Walawi ambao walikosa mgao wa ardhi kule Israel. Hawa Walawi hawakuruhusiwa kujishughulisha na mambo yao ya kiuchumi.
Leo hii mchungaji na askofu wana fremu Kariakoo lakini bado hawaoni haya kula 10% ambayo ilipaswa iende kwa maskini.
Ibada moja ina inakuwa na sadaka mpaka 5. Wanabadilisha jina tu au makapu.
Kapu la sadaka ya ujenzi linafanya nini katika kanisa lililoisha ujenzi?
Kila siku ya ibada ni kukumbushana ujenzi tu.
Moja ya Sababu itakayonifanya nifungue huduma mpya ni suala la sadaka.
Dhulma ya wazi kabisa inafanyika. Ikitokea kongamano la vijana au wamama wataambiwa wajigharamie huku kanisa wanalotoka jumapili Moja tu millioni zaidi ya 2 zinakusanywa.
Hawa manabii na mitume pamoja na makuhani wa mchongo ndo usiseme. Hao Kila siku ni ibada na machangizo.
Uchungaji si kazi ya waliokosa ajira na mitaji.
Naunga mkono hoja, viongozi wa makanisa wafanye kazi kama watu wengine. Shufhuli zote za ibada malipo yake mbinguni, ni dhulma viongozi wa makanisa kula sadaka na dhaka.Uchungaji si kazi ya waliokosa ajira na mitaji.
Weka huo Uzi nakupa laki moja au niondolewe jf milele