Kwenye suala la sadaka natoa hongera kwa Waislam. Wametuacha mbali sana

Kwenye suala la sadaka natoa hongera kwa Waislam. Wametuacha mbali sana

Wewe ndiyo unaona Wana elimu ya QUR'AN,ukijua kusoma na kuandika kiarabu utaweza kusoma vitabu vya uchawi vya kiarabu na kuandika makombe,Lebanon ni waarabu,Kuna wakiristo 40% na waganga wa kikiristo wanaoandika makombe
Wewe acha uongo umewahi kufika Lebanon? Kuna mahusiano makubwa kati ya Quran na uganga kwasababu mimi ninayekueleza hivyo huko ndiko mambo yanapokuwa magumu tunakimbilia
 
Wewe acha uongo umewahi kufika Lebanon? Kuna mahusiano makubwa kati ya Quran na uganga kwasababu mimi ninayekueleza hivyo huko ndiko mambo yanapokuwa magumu tunakimbilia
Kumbe mpumbavu!..huko unakokimbilia mambo yakiwa magumu waambie wakuchoreshe saba
 
Back
Top Bottom