Watoto wote wana haki sawa, maamuzi ya wazazi hayana uzito wa kuwabagua, Mali zipigwe pasu kwa pasu kwa watoto wote bila kujali ni wa ndani ya ndoa au nje.
Nimeshangazwa kusikia kinachoendelea huko Arusha kwamba mke wa marehemu bilionea YTemu anajitetea kwamba walifunga ndoa ya kikristo ya mke mmoja kwahiyo akimaliza kuzika anakusanya mali zote za mumewe baada ya kufungua mirathi.
Hii ni kinyume na ukristo, watoto wote huonekana sawa hakuna ubaguzi, hawahusiki na maamuzi ya wazazi wao kuzaa nje ya ndoa.
Kwa nchi kama za ulaya hii migongano huwezi kuikuta, wakristo wengi wana watoto wa nje, Ikitokea Baba kafariki watoto wa nje na wale wa ndoa hugawana mali pasu kwa pasu maisha yanaendelea.
Nimeshangazwa kusikia kinachoendelea huko Arusha kwamba mke wa marehemu bilionea YTemu anajitetea kwamba walifunga ndoa ya kikristo ya mke mmoja kwahiyo akimaliza kuzika anakusanya mali zote za mumewe baada ya kufungua mirathi.
Hii ni kinyume na ukristo, watoto wote huonekana sawa hakuna ubaguzi, hawahusiki na maamuzi ya wazazi wao kuzaa nje ya ndoa.
Kwa nchi kama za ulaya hii migongano huwezi kuikuta, wakristo wengi wana watoto wa nje, Ikitokea Baba kafariki watoto wa nje na wale wa ndoa hugawana mali pasu kwa pasu maisha yanaendelea.