hata mie shem nilinunua mwanzoni kabisa.......nasikia huyo kakako sikonge ndio atakuwa producer kwenye redio ya boss wake wmakalinga?
hata mie shem nilinunua mwanzoni kabisa.......nasikia huyo kakako sikonge ndio atakuwa producer kwenye redio ya boss wake wmakalinga?
kaishi majuu(poland) miaka 18 ni exposure tosha kwa wana kyela nasikia wanafagilia sana watu wa majuu...
...ni IT expert atatoa laptop za bure wapambe wake washa ahidi...
hata mie shem nilinunua mwanzoni kabisa.......nasikia huyo kakako sikonge ndio atakuwa producer kwenye redio ya boss wake wmakalinga?
Nakuaminia Shem....nina wasi wasi sana na ndugu yangu Sikonge...nilikuwa namsoma vizuri sasa naanza kujua rangi yake halisi, wee mpe laptop tu hata kama ni second hand pentium II atakulamba miguu....LoL
Ha ha haaaaaa. Huu ndiyo unaitwa utani. Safi sana. Pentium II? Njoo Skype uone mtambo wangu.
Mbona niliona umeandika kuwa unaisubiria kudownload kwa Torrent?basi nikajua huna, ningejua unatania ningekuomba unitumie..Mimi ukweli ni kuwa nimeipata leo hivyo nameremeta!
kumbe Yo Yo ni mtumiaji wa vitu pirats? Sasa Masa ona shemeji kaaibika.
Wamemsasambua SAMBU!!
kumbe Yo Yo ni mtumiaji wa vitu pirats? Sasa Masa ona shemeji kaaibika.
Wamemsasambua SAMBU!!
Kugombea Ubunge ni haki ya kila Mtanzania anayetimiza masharti ya kuwa Mbunge. Sasa akitokea mtu kuonesha nia yake ya kugombea halafu tukaanza kusema katumwa na mafisadi, nadhani wanaosema hivyo wao ndio mafisadi. Manake hakuna mtu ambaye ni Mbunge wa maisha. Hata kama utateta Wananchi vipi, baada ya miaka 5 ni haki ya yeyote kugombea bila kujali ulifanya nini katika hiyo miaka 5 uliyokuwa Mbunge.
Hongera Mwakalinga kwa kuweka wazi mapema kuwa utagombea Ubunge jimbo la Kyela. Sasa mambo yatakuwa hapo wakati wa kura za maoni mwakani, ndio tutajua nani kinara wa CCM katika mbio za Ubunge Kyela.
Hahahaha haya bwana kuwa na wakati mzuri wacha mimi nikapige box mida hii am out and over, nikifikisha miaka 18 hivi ughaibuni narudi Nzega kuchukua jimbo!
... kwetu twasema siku ya harusi "Kulanga kilangile, uli-kyume na ulangi" yaani "Kufunda mtoto aliyefundika, basi utajisifia ufundaji".
Atakayeendelea kukiuka atapata Server ban and that will be a permanent one.
Sasa kwa nini umfunde aliyefundika? Na kama alishafundika utajisifiaje ufundaji? Provebu yako hai meki sensi!
Kuna Mbunge kaiuliza serikali, Sheria ya Economic Sabotage, 1983 imewahi kutumika? And in that spirit, let me pose this, Umewahi kuadhibu wangapi na hiyo permanent server ban? Wacha mukwara bana mukubwa!
Not him....youInvisible...make an example out of this guy...
Not him....you
Not him....you
That will never happen....I run this mugh
not me ....her/him ngabuYou two....again!😀
No it'll.......una bahati invisible anasali kwa Dr Lwakatare.....That will never happen....I run this mugh
not me ....her/him ngabu
No it'll.......una bahati invisible anasali kwa Dr Lwakatare.....