Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania ana multiple IDs!
Mbeya inakuwa nyuma shauri ya watu kama nyie ambao mnashindwa hata kufungua kiosk Kyela japo huko nyuma mlikuwa na pesa nzuri. Mungeiga Uzalendo wa Mwakalinga kwa Kyela hata kwa asilimia 10 tu, hii wilaya yenu ingelikuwa inasogea mbele.Nimeongea na Mwanjala na kathibitisha ameonana na Mwakalinga mara moja tu tarehe 24/07/09, kabla ya Mwakalinga kwenda Kyela. Alikuwa anamsikia tu huko nyuma lakini hakuwa kuonana naye wala kuongea naye.
Mtanzania ana multiple IDs!
Kwasababu wewe unatumia pia Shalom unafikiri kila mtu ni kama wewe?Umejaribu kumchafua Mwakalinga umeshindwa sasa umekuja kama Shalom na pumba zako ni zile zile.
Kwasababu wewe unatumia pia Shalom unafikiri kila mtu ni kama wewe?
Umejaribu kumchafua Mwakalinga umeshindwa sasa umekuja kama Shalom na pumba zako ni zile zile.
He heeeee Shalom,
MAZEE wa TEXAS. Mzee aliyeowa Mzungu na anahaha kutafuta wawekezaji matapeli waje Tanzania. Mzee anayelishwa na Mke wake wa Kizungu.
Kwasababu wewe unatumia pia Shalom unafikiri kila mtu ni kama wewe?
Umejaribu kumchafua Mwakalinga umeshindwa sasa umekuja kama Shalom na pumba zako ni zile zile.
Ukiwa na IQ yakawaida tu unaweza kujua kama huyu mtu yuko texas, UK kama boss wenu au tanzania nayo ni kwa kutumia time anazokuwa humu lakini kwa sababu wenzangu kazi ni ushabiki tu mimi sina la kusema na ispokuwa nawatakia huyo daktari wenu aendelee kuwaprescribe Profosol!
Masanilo aka Shalom, Engineer 2009. Mazee sijaowa maana kabula ni mweupe na Mzee Mwinamila ametaka Ng'ombe wengi. Bado nipo nipo ndugu yangu!
Mwakalinga na Lowassa ni kama chanda na pete, suala la wao kufamiahana wewe walijua tena ulitupa hints hapa JF, kabla ya kwenda Monduli walikutana pia na kuongea huku ulaya wakati Edward yuko kwa medical check up. Kama haitoshi alipokuwa vacation Monduli pamoja na kuona shemejiye alikutana kwa kikao cha siri na Lowassa hilo la Mzee wa Mavi kuwa Dodoma mnalijua nyinyi. Mwakalinga ni zao la ufisadi!
Shalom,
Kumbe ndio mama unamtesa huyo dada mkeo kwa makazi yote huku wewe ukizunguka mitaani eti kutafuta investors wa kuwapeleka Kyela? Kumbe bado unafikiri tabia za zamani zilizopitwa na wakati ambazo watu walikuwa hawajali familia zao?
Uzalendo unaanzia nyumbani, huwezi ukaacha kuipa huduma zote familia yako na ukajifanya utasaidia taifa.
Mwakalinga anajali familia yake, tena yote na wala sio watoto wake tu. Akawapa vacation nzuri watoto wake kabla ya yeye kuingia kwenye mapambano. Siku tano akamaliza kata zote kitu ambacho Mwakyembe ameshindwa kukifanya miaka minne ya ubunge wake. Jana ndio anasema atatembelea kata zote baada ya kuona joto la jiwe.
Vipi hao wazungu wako unawaleta lini Kyela? Fanya kazi na msaidie huyo dada ili apunguze kuzunguka kwenye hizo hospitali ili alishe na mume asiye na kazi.
Mbeya inakuwa nyuma shauri ya watu kama nyie ambao mnashindwa hata kufungua kiosk Kyela japo huko nyuma mlikuwa na pesa nzuri. Mungeiga Uzalendo wa Mwakalinga kwa Kyela hata kwa asilimia 10 tu, hii wilaya yenu ingelikuwa inasogea mbele.
Nimeongea na Mwanjala na kathibitisha ameonana na Mwakalinga mara moja tu tarehe 24/07/09, kabla ya Mwakalinga kwenda Kyela. Alikuwa anamsikia tu huko nyuma lakini hakuwa kuonana naye wala kuongea naye.
Sasa ilikuwaje watu wenye IQ mkashindwa kufahamu kuwa LOWASSA yuko Dodoma kwenye mkutano wa Bunge na si Arusha alikokuwa Mwakalinga.
Sasa hivi si uko Kyela na mzungu wetu? Mmekuja kuwekeza.
tatizo la nyie wanyakyusa ni kupenda majungu kuliko fact hivyo unayosema hapo juu siyashangai hata kidogo ndiyo jadi yenu. Nachomshangaa Mwakalinga ni uwezo wake wa kuandaa vijana wenye IQ ndogo kama nyie ambao hamuwezi hata kufuata logik.
Kuna ndugu yenu mmoja humu alisema kuwa mimi ni mpambe wa nchimbi lakini mimi najua kuwa mtu mvivu wa kufikiri lazima atakimbilia huko hasa akiwa ametoka katika damu za kifisadi basi hawezi fikiri kuwa kuna mtu buguruni anaweza kukaa na kuja na hoja za nguvu hivyo ni lazima awe na support kutoka ufisadini.
Nikilishwa na mke wangu kuna tatizo gani si ndiyo hiyo kuwa pamoja wakati wa raha na shida? unaona wivu mwambie basi huyo mke wako ugly akulishe kama anajeuri
Sio lazima ni invest kyela naangalia sehemu inayolipa ila nikitaka kuinvest sehemu ili nigombee ubunge basi ni lazima iwe kwenye hilo jimbo nalotaka kugombea hata kama return in my investment ni impossible ili niwakoge wavivu wa kufikiri kama engineer, sikonge na wengine.
ukitaka personal nimesema mimi sitaki ila ukinichokoza kuna mida najibu. muulize bosi wako ninayo Pm yake akiomba msamaha!
Ha haaaaaaaa IQ ni kwa wengine kwake haoni. Jamaa wa wakezaji wa kuokotwa barabarani.
Bro! Shalom lete hao Wazungu tuwashangae huku barabarani! Nani anajua, wanaweza wakanipenda na mimi nikapanda pipa kwenda Ulaya niungane na wewe kwenye kuwafaidi hawa Wakoloni.
Poor Shalom...Kumbe wewe poti ni mpambe wa Nchimbi?
Hivi Mkuu hujui kumbe utani.
Utani inatakiwa na wewe unatoka na wako. Sasa wewe unakuja kurudia walichokisema wenzako. Huoni aibu? Muone, miguu tu imekaa kama jogoo linawika!!!
Masanilo, huyu jamaa kakaa na yale macho yanayotokeza. Na huyu hapa ni dada yake. Hii familia ni balaa!!!
http://www.youtube.com/watch?v=MsVeDQymCiY&feature=related
Hizi tunaita ni Pumba!