Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Acha tu mkuu dogo angejipatia kabinti kabichi kabisa ajilie mema ya nchi anavamia migumegume yenye misuli ka yeye 🤣🤔!
Ni laana
laana sana mrembo.ameshindwa kuwaona mlivyo kuwa mnamshabikia😅😅
 
Kusema watu wanakatwa uume wawekewe k haingii akilini
 
Nashangaa wewe kusema habari ni ya uongo wakati ni kweli mbape analala na punga
Sasa kwann umtetee mnaajenda gani nyie watu
 
Hapo ndio nilipomchukia. Amepoteza mashabiki wengi ksbb ya kuiga huo ukenge.
Mtu ishi kiafrica halisi. Mambo mengine acha yapite. Kuna haja gani kwa mtu ana pesa kama yeye ya kudokoa dume,unaacha wasichana wengi tu wamejaa wazuri sana.
 
Unakubaliana na mbape kuoa shoga? Je wewe ni mtu wa upinde!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…