Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Sijazungumzia ukiwa utajiri wake nimesema ameharibu personality ya sisi wapenda mpira

Mimi nilikuwa shabiki wake lakini Sasa sitaki hata kumskia na ndivyo ilivyo kwa wanamichezo wote hatutaki

Mpira wake hautafika mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usipokuwa wee shabiki wake yeye anapungukiwa nn? Kwanza anakutambua? Ukiwa shabiki wa wachezaji wengine inatoshaaa, mbappe wala hakujui mwayaaaa. Usijipe umuhimu ambao haupooooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachokufanya uwe wewe ni vile unavyojihisi ndani yako, sio suala la sura wala miguu,

Unajifanya huiamini google sababu unajua itakupa majibu usiyoyataka lakini unaitumia hiyo hiyo kukupa majibu unayoyataka
What makes you is not how you feel. Feelings are lies. What makes you is how you were created. Its either XX female or XY Male. Feelings and emotions are evil and they are not you.
 
Mpira wake umeshaingia nuksi pia ni laana hiyo
Ataanza kuumia mara kwa mara uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usipokuwa wee shabiki wake yeye anapungukiwa nn? Kwanza anakutambua? Ukiwa shabiki wa wachezaji wengine inatoshaaa, mbappe wala hakujui mwayaaaa. Usijipe umuhimu ambao haupooooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu unakuta mwanaume mzima from bongolala unashabikia ufaransa kisa mtu mweusi😀 unaacha kushabikia Argentina 🇦🇷 timu bora na pendwa unashabikia ufaransa kweli! Ahsanteni wanaume kunipigia hao waswahili wanaopewa sifa zisizostahili..
 
Acha tu mkuu dogo angejipatia kabinti kabichi kabisa ajilie mema ya nchi anavamia migumegume yenye misuli ka yeye 🤣🤔!
Ni laana
laana sana mrembo.ameshindwa kuwaona mlivyo kuwa mnamshabikia😅😅
Shangaa Nawewe 🤣🤣🤣🤣!

Japo mi vijana barobaroooo not my fleva kabisa si unajua kuleee nishasema vitu vyangu 🤣🤣!!
🤣🤣🤣🤣
 
Kusema watu wanakatwa uume wawekewe k haingii akilini
Kabisa mkuu, japo inawezekana ila hata wanasayansi wanakiri huyo mtu hawezi kua ke kamili.

Na hisia za kiume zikimrudia anaijiboost na mijidawa aendelee kubaki na hisia za ke. Sasa mwanamke gani anakunywa dawa aendelee kubaki mwanamke.
 
Nimekumiss zaidi mke wa mimi🥰
Halafu nipo ila nimekua mpenzi msomaji, naona Raia wana hasira sana mtu anaweza akakurushia hata chupa ya uso kua makini babe 😂😂
🤣🤣🤣punga hilooo.linapumuliwa
 
Walalahoi wa Buza wamekasirishwa na Mbappe, kwanza amewateka manzi zao kihisia na bado anamkula mrembo transgender 😂 pili kawazidi muonekano hadi pesa daah kwa mbaaali nawaelewa makasiriko yanatoka wapi 🤭😃
wee umemzidi au mpo sawa?
 
Back
Top Bottom