La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Hivi hawa La Ultima Letra na ISIS nani ni hatari?
Hawa.noma aisee..kuna.video nimechek wanachinja kwa kutumia ile mashine ya kuangushia miti au kuchania mbao

Na.kama wanatumia kisu wanakata shingo mpaka itengan na kiwiliwi


Mkuu umechinja kuku wa speed kichwa kikawa kimetengana na.mwili alafu mwili bado unacheza na kichwa bado kinafunction


Ndio hawa jamaa wanachinja mtu anakuwa kichwa kule ,mwili kule ila bado analia na.kuunguruma.then wao wanacheka tuu


Nazan ukizoea kuchinja.binadam ni sawa na kuzoea kuchinja.kuku tuu

Ngoja nitajalibu kwa kaoge au james delicious...nawatenganisha kichwa na mwili fasta fasta.sanaa
 
Aisee Ila wanaua halafu wqnakua matajiri sana wa ngada
 
Mkuu uki
mkuu ukiweka ukuta unajisumbua tu hawa jamaa wanapita chini ya ardhi wana njia zao huko
 
Nimejiuliza kwamba hawa watu wanapokua wanauana kwanini jeshi la Mexico haliingilii manake liwaue wote??? Pili kama wana nguvu kiasi hicho pesa wanaweka wapi??? Pesa yao haiwezi kuzuiliwa ili wakose nguvu ya kujiendesha??? Na Je Huyu Rais wa Mexico ana nguvu yeyote dhidi ya hawa watu??? Na baadae nikajiuliza kwamba Trump ataweza kuwakabili??? Na Ukuta utasaidia lolote???
 
Aisee jamaa n shida nikajua labda wale Los pepes enz za pablo ndo walkua makauzu mbaya kumbe hawa n soo
 
Mkuu The bold unaroho mbaya sana mm ni mdau wako lakini upendi kunitag mademu unawapa kipaumbele sasa watafukia kaburi
 
Kumbe hawa La Ultima Letra ni hatari zaidi ya ISIS. Bado najiuliza mbona ISIS ndio wanaoogopwa sana na Waamerika wakati jirani na kwao kuna watu hatari kama hawa La Ultima Letra.
 
sipo tena kwenye list ya tag,nahisi nina gundu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…