feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,594
- 4,189
Pole MkuuUshawahi kuona mzazi ambae haelewek.. unagraduate anachukia.. unaenda kutafuta maisha anachukia.. narud na picha ya graduation nyumban wanaweka chini ya kabati.. wewe ni mtoto wake likija kwny swala la kuwakomoa ndugu zake tu.. ataanza ee mwnanangu amesoma.. mwanangu hv.. jana tu baada ya kunikazia nmehangaika mwnyw nimepata kibarua kwa muhindi.. anakuja ba idea eti ooh nenda jkt sasa.. kuna rafk zangu watakuunganisha ukimaliza course.. kweli kijana wa miaka 27 inaenda 28 unamwambie jkt leo.. alikua kwako toka akiwa na miaka 25 amemaliza degree hakuna alichosaidia zaidi ya kuniuliza najitolea kwny mashirika kwa faida gani.. Sasa huyo nae ni Baba au laana kamili.. mama yangu kafariki nna miaka miwili lakn tokea naanza kupata akili naskia negativity za mama kutoka kwa Baba.. nahajawah kwenda hata kuangalia kaburi.. watu wanapga wazazi wao kwa sababu.. na kuna wazazi wana nuksi sana.. tena sanaa
Huwa inauma sana hasa mzazi aliyekuzaa kushindwa kukupa support hata ya mawazo tu na faraja.
Mimi mwaka saba huu sijapata kazi ila napata support kwa wazazi namshukuru Mungu tena kimawazo na na wakati mwingine kifedha.
Hii inanisaidia sana hasa kunipunguzia stress pale mambo yangu yanapoenda hovyo angalau mzazi anakupa moyo na kukufariji ila usiombe mambo yawe mabaya halafu mzazi naye akugeuke aisee unaweza changanyikiwa.