Naweee ulikwamaa wapiii had akununieee? Ubadilishe Yale mapazia, huenda atakuchekeaaa!!!Dah sikuwah kuwaza aloo
maskin dad wa watu kaninunia na kuninunia afu huku mnaita n mke wang
Ningejidai
Ni vile tu unachuki nami ila mm naheshim sana wanawake. I know their valuesHapana namaanisha wanawake kwa ujumla tena unakuwaga serious kabisa mpaka nakushangaaga, kuna siku nilikuuliza siku hizi umekuja kuwaje unakumbuka ulinijibu nini, yani binafsi mwanaume akishakuwa misogynist na kuanza kutukana au kudharau wanawake huwa namuona kama muuaji
Popo si umtaje tu consitable mwenzio Vincenzo Jr liwalo na liweπPandisha juu ipo short and clear
Umeulizwaa una HELA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nifanyie mpango nmpate huyo mtoto aloo[emoji3]
Ohoo dah mambo mambo tuuNaweee ulikwamaa wapiii had akununieee? Ubadilishe Yale mapazia, huenda atakuchekeaaa!!!
Ulimkorofisha nn DA ke? Mbona hana mbambamba yuleee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NinazoUmeulizwaa una HELA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee fifi taratiiibu ulituachanisha wewe?? π€£π€£π€£Si mke wa Countrywide huyo? Waliachana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em kwendraaa huko, uwezee wapiii wee. LolNtapiga wewe hadi u...e
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Limeisha shem coca umempata hilo pigia mstari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HiNi vile tu unachuki nami ila mm naheshim sana wanawake. I know their values
Semaa kweliiii? [emoji23][emoji23][emoji23]Hapana bwana... sio mke wangu.
Acha hivyo hata mahusiano hatukuwah kua nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em kwendraaa huko, uwezee wapiii wee. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa!!!!intelligent businessman asiye na business anaomba AFTATU bora aje awe kibenten wangu tuu [emoji3059][emoji3059][emoji3059] shangazi mie sina roho mbaya atatajirika ndani ya mwezi tyu [emoji3059][emoji3059]
Yaaah n vile tu tunafahamianaSemaa kweliiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona ww extro hajatajwa wizo π€£π€£π€£π€£Kama hajatajwa ujue kimeo huyo.
Raha ya mume kugombaniwa na majike shupa π₯°π₯°π₯°ππ hapo ndo unajua nimeolewa na chuma kweliii π₯°π₯°
π€£π€£π€£π€£ basi sawa tusonge mbele km injili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona unataka turudi nyuma udugu? Life linasonga mbeleeee
Haina kushindwa shemAhsante sana shem
Hapa nishindww mm tuu