Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Dah sikuwah kuwaza aloo
maskin dad wa watu kaninunia na kuninunia afu huku mnaita n mke wang

Ningejidai
Naweee ulikwamaa wapiii had akununieee? Ubadilishe Yale mapazia, huenda atakuchekeaaa!!!
Ulimkorofisha nn DA ke? Mbona hana mbambamba yuleee?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni vile tu unachuki nami ila mm naheshim sana wanawake. I know their values
 
Naweee ulikwamaa wapiii had akununieee? Ubadilishe Yale mapazia, huenda atakuchekeaaa!!!
Ulimkorofisha nn DA ke? Mbona hana mbambamba yuleee?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ohoo dah mambo mambo tuu
 
Kama hajatajwa ujue kimeo huyo.

Raha ya mume kugombaniwa na majike shupa πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜πŸ˜ hapo ndo unajua nimeolewa na chuma kweliii πŸ₯°πŸ₯°
Mbona ww extro hajatajwa wizo 🀣🀣🀣🀣
Wamtaje beibyy wangu hawajitaki?? Hawaogopi?? Uzi utafungwa huu hilo mbungi nitakalolianzisha πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…