Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] namna hiyo udugu, mapenzi ya kweli hayafi labda km mnaigiza.!!
Ko shem si mpo wote?? [emoji12]
Tupooo wotee hapaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchanaa watazungukaaa huko, jioni watarudi na watatukutaaa tupoo na tumejaa teleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta 🤣🤣🤣🤣
 
Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasemajeee watatukutaaaa sisi tupoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa hiyo chuki itoke wapi wewe ni mara ngapi nilishakuambia kwamba uko smart upstairs na huwa nakukubali, mimi siwezi kumsifia mtu kama simkubali huo unafiki sina na nikimkubali mtu huwa nampa maua yake, ila tu kuna comments huwa unazitoa kuhusu wanawake mpaka huwa najiuliza huyu ni wewe kweli maana hata mi nilikuwa sijakuzoea hivyo..sema basi tu nazisahaugi hizo nyuzi ila ningezitafuta nikuoneshe!!
Nagongelea msumari Da'Vinci huyu anasema kweli.
 
Back
Top Bottom