Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] namna hiyo udugu, mapenzi ya kweli hayafi labda km mnaigiza.!!
Ko shem si mpo wote?? [emoji12]
Tupooo wotee hapaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchanaa watazungukaaa huko, jioni watarudi na watatukutaaa tupoo na tumejaa teleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta 🀣🀣🀣🀣
 
Ona na na na na naijua hiyo😜😜😜😜halafu kauchuna eti..liwalo na liwe.....huwaga mkali huyo kama pilipili 🀣🀣🀣🀣
Anakupenda sema anazuga ila hapo kafurahi mpk jino la mwisho limeonekana 🀣🀣🀣🀣
 
Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasemajeee watatukutaaaa sisi tupoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nagongelea msumari Da'Vinci huyu anasema kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…