[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujaaa andaa naul ya kumpa davoo wa boda.Igumbilo apoo
Tupooo wotee hapaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] namna hiyo udugu, mapenzi ya kweli hayafi labda km mnaigiza.!!
Ko shem si mpo wote?? [emoji12]
π€£π€£π€£π€£ V.A.R iko makiniπ€£π€£π€£ daah ila we Mdada weweππΏ huachi vitu vipite π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujaaa andaa naul ya kumpa davoo wa boda.
Aloo hapo umenena usisahau naniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujaaa andaa naul ya kumpa davoo wa boda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hutaki amanii kabisaaaAmtaje wa chaka ti chaka aje hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JitajeeππNaubiri kwa hamu kutajwa lakini naona muda unazidi kuyoyoma,
Utalala na viatu leo π€£π€£π€£oya nilikuwa nakula, ghafla naona nani Tena ana nirushia stimuππ.
Sema I'd mpya Nazi ogopa π€£
Nisahau nn? Toka lini mjeda akaenda vitani bila mguu wa kuku na kifaru? Afu natumia OG na expensive sasa.Aloo hapo umenena usisahau naniii
Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta π€£π€£π€£π€£Mchanaa watazungukaaa huko, jioni watarudi na watatukutaaa tupoo na tumejaa teleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Beba toto hilo jirani lizuri afu halina mambo mengi ππππ
Kisa nini Sasa π€ π€£ πUtalala na viatu leo π€£π€£
Haya ndio maneno sasaaaaNisahau nn? Toka lini mjeda akaenda vitani bila mguu wa kuku na kifaru? Afu natumia OG na expensive sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anakupenda sema anazuga ila hapo kafurahi mpk jino la mwisho limeonekana π€£π€£π€£π€£Ona na na na na naijua hiyoππππhalafu kauchuna eti..liwalo na liwe.....huwaga mkali huyo kama pilipili π€£π€£π€£π€£
Nasemajeee watatukutaaaa sisi tupoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haswaaah.!! Na uzuri tumefundwa tukafundika wala hatuna habare nao.!! Watatukuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sisi hatutaki hela heka na ww. Tulia na wa kaskazini wako πWee nna jamaa yangu Mwamba wa kaskazini sitaki hekaheka mie π€£π€£π€£π€£
Nagongelea msumari Da'Vinci huyu anasema kweli.Sasa hiyo chuki itoke wapi wewe ni mara ngapi nilishakuambia kwamba uko smart upstairs na huwa nakukubali, mimi siwezi kumsifia mtu kama simkubali huo unafiki sina na nikimkubali mtu huwa nampa maua yake, ila tu kuna comments huwa unazitoa kuhusu wanawake mpaka huwa najiuliza huyu ni wewe kweli maana hata mi nilikuwa sijakuzoea hivyo..sema basi tu nazisahaugi hizo nyuzi ila ningezitafuta nikuoneshe!!
Mpaka na wewe unataka uwe me ππππππππππ Kwikwikwi Kwikwikwi
π€£π€£π€£π€£ππYaani huyo kashindikanaπππ