Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Uzi wa kuitana mashoga wadangaji Malaya na singo maza...
Hapana mkuu,
hiii ni chitchat , sasa kuvutiwa na I'd? Mfano mimi smjui yeyote zaidi ya tunavochart hapa tu

Na pia kuna wakati huku nilisoma kuna watu wanajfanysha wanajiita wa kiume kumbe wa kike, au kike kumbe kiume, sasa unaweza kukurupukia ke/me mwenzako(wachache),wanatajana kulingana na mtu anavyojiclassfy kijinsia)

na wapo wanaojuana pia huenda wanajitaja kiuhalisia hatujui
Cha mwisho INASEMEKANA hapa JF Ni panoma sana..
 
Aisee....ila nakuita Daddy kishingo upande hata siamini Kabisa kama umezeeka..,,,, Grahams nae hupenda kujizeesha
Sio kujizeesha Mjukuu, umri wangu ni kweli umeenda now 😜

Imagine kama tulicheza ile michezo ya Kibaba Baba Mwaka 1947 si ni kweli tumezeeka πŸ€—

Good morning πŸ₯‚
 
Mmhhh wewe sema unataka uwajue au ndiyo muhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…