Endelea tu kukaa hapa, ila sikushangai maana mwanaume ni kama beberu na kinachokuvuta hapa "pheromone " ya binti yuleeeee.Kiufupi dish lako Lina yumba Sana😂, halafu acha tusi zako kaka🤣
Za wokovu wa Kristo 😂Mna habarii gani tenaa jamaniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ni watu wasiolitakia mema penzi letuEeeh ndo hivo ety unawatoto hadi wa majirani
Hawa itabid niwapuuze tu.Hao ni watu wasiolitakia mema penzi letu
Ewaaaaaah! wewe nisikilize mimi peke yangu, maneno ya watu achana nayo 🤣🤣Hawa itabid niwapuuze tu.
Penzi letu lianze upyaaa.
Sawa nakusikiliza ww tu maneno ya watu sitak tenaEwaaaaaah! wewe nisikilize mimi peke yangu, maneno ya watu achana nayo 🤣🤣
Naona ni muda wa utekelezaji wa ilani, si unaona wengine woote wametulia, nasi tuingie mzigoniSawa nakusikiliza ww tu maneno ya watu sitak tena
Sawa nakusikiliza ww tuNaona ni muda wa utekelezaji wa ilani, si unaona wengine woote wametulia, nasi tuingie mzigoni
tukutane kulekule...Sawa nakusikiliza ww tu
Kule tumekutana juzitukutane kulekule...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuuu!!!!Za wokovu wa Kristo [emoji23]
Naomba pepo chafu zitoke kichwani mwako.Endelea tu kukaa hapa, ila sikushangai maana mwanaume ni kama beberu na kinachokuvuta hapa "pheromone " ya binti yuleeeee.
Umeshamtahadharisha🤣Naona na yeye kaanza kumnyapia😂😂
🤣🤣Hujakoma tuUsinambie mmerudiana 🤣🤣🤣
Ntaeka wapi sura yangu ninavyomchambaga equation mimi?? 😂😂😂😂
🤣Uzi uko masafa ya mbali
Afu we Depal.... 🥰🥰🥰Mnamchokoza shangazi wa watu
Mnamfosi atoke chumbani 😁😁
Mzee wa heart break, wame kuvunja Moyo tena 😁🤣Mods fungeni hii thread haraka iwezekanavyo.
intel mamboNaomba pepo chafu zitoke kichwani mwako.
Bibi naomba uwasamehe akina Lamomy hawajui walitendaloHalafu nikute nyie akina mjukuu mmejichanganya mmtaje padre, mtajuta kuzaliwa