Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Nataka iwe ya kisasa zaidi nipate wadhamini ili memba atakayehojiwa apate hata hela ya soda ili afunguke bila kona kona [emoji23][emoji23][emoji23]

Na nataka wale mastar humu ndo nianze nao, wenye kashikashi zao.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shangazi wa mtukula hiko kipengele anafit kabisaa.!! Kanisa litametameta sana mana naye ni mkali wa vitambaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😀😀😀 umenikumbusha mbali sana, Chiku na Prince kitambo sana! Careless Whisper ukawa wimbo maarufu machinjioni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni full tafraniii, wengine walikua wana train Gym sehem 1, yaan ni full heka heka.
Udugu sema kweli?? Had gym? 🤣🤣🤣🤣
Sa ikawaje?
 
Udugu sema kweli?? Had gym? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sa ikawaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo ktk kujua wanageukana hao mashost,
M1 alienda ofisi kwa jamaa ili wakutane, ndo selee kushuka kwenye gari hataki, kumbe kafupi, kana macho makubwaa, bichwa tango,

Yaani copy copy na Selee wa mbosso [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…