[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka iwe ya kisasa zaidi nipate wadhamini ili memba atakayehojiwa apate hata hela ya soda ili afunguke bila kona kona [emoji23][emoji23][emoji23]
Na nataka wale mastar humu ndo nianze nao, wenye kashikashi zao.!!
[emoji182][emoji8][emoji182][emoji8]Nipo mywangu
I waiting for ue hnnylove[emoji3590]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Em delete kwanza
Sitaki kuwa banned
Af tuendelee [emoji1787][emoji1787]
Wee selemaniiii wee, eeeh seleeeeeeeeeeeNilichokukwoti
Nawe ukakwoti
Mambo ya Sele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi tumpe kamati ya vitambaa vya mapambo madhabahuni
Yupo vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shangazi wa mtukula hiko kipengele anafit kabisaa.!! Kanisa litametameta sana mana naye ni mkali wa vitambaa
😀😀😀 umenikumbusha mbali sana, Chiku na Prince kitambo sana! Careless Whisper ukawa wimbo maarufu machinjioniYaani 2010 unaona ni zamani?
Hapo JF tayari ilikuwa na miaka 4!
Nyenzi.com ilianza miaka 95/96 na watu tulikuwepo huko 🤣.
Some of us are the OGs of this shit.
Y’all better put respect on our names 🤣.
Nyie hata adventures za Mzee Mwanakijiji na Chiku hamzijui….
Da Chiku sijui yupo humu….daah.
Uje usisahau naniii[emoji182][emoji8][emoji182][emoji8]
Mic Kelph!!
Nikuje wapii, em tag loc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninii?Uje usisahau naniii
Udugu sema kweli?? Had gym? 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni full tafraniii, wengine walikua wana train Gym sehem 1, yaan ni full heka heka.
Ngoj nijipange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo ktk kujua wanageukana hao mashost,Udugu sema kweli?? Had gym? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sa ikawaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute kuna 1 tyuu, na haitumikiii.Ngoj nijipange
Nicheze na zote
1-2 zoteee
😅😅😅eeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute kuna 1 tyuu, na haitumikiii.
Utajua hujuii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]eeeh
Hii I'd Sijaiona kitambo sana, btw niltaka niimention. upo mkuu rohombayaDah....
Tajiri umewrong chumba😂😂😂00:08