Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣Kama kawa🤣🤣🤣🤣 Sisi ndio wapeleka uzi utrend ohh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Kama kawa🤣🤣🤣🤣 Sisi ndio wapeleka uzi utrend ohh
Sasa je sitaki kukutana na majini yenu chooni 🤣🤣🤣🤣, Popo unampa hongera yanini lakini Kwaniaba nimezipokea🤣🤣🤣🤣 mwanaume mgumu huyo hatikisiki hop he is in somewhere..🤣🤣🤣🤣Unataka mambo ya bathtub na mishower gel au sio?ukitoka hapo unaenda kulala sio kujiegesha?safiiii sana hongera bwana Certified Hater
🤣🤣🤣🤣 uzuri wa beibyyy wangu hata wakimtaja akija anawashushua bac tafrani tupu!! Juzi kati kanipiga biti humu nilihisi drone za Israel zimetua kichwani kwangu wohiiiiii 😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu acha vitishoo.
Jina la kike lipi unalipendaUna maanisha ID yenye jina zuri? I meant nivutiwe na jina la ID?
Trying to be better ma'amUko aje?
Nitaka
🤣🤣🤣Sawa braza Jo
🤣🤣🤣🤣Watu wagombane bwana tifu la maana Hadi mods wafungeHumu leo tunataja kwa machale zile ID ambazo hazichati sana ndio unataja unajua ukute hayupo Duniani sina wa kugombania nae😁😁😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asisikiee wivuuu?? Ana wivuu kupitilizaa.Kwa hiyo fidodido hap anakuzoom tu[emoji16]?hasikii wivu?
🤣🤣🤣🤣 ila vocha zinaniuma!! Kweli tunaziacha udugu??Na liturujia uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I'd tu inatisha. yuko pasono🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wa bla blah and so nimekususia mankaKweli hii ni unique I'd haigombaniwi😋
aiIla siku hizi umechanganyikiwa shemeji 😁😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kuachanaa, huu mwaka ni wa kufoc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Udugu fifi ananiachanisha na mume wangu simuelewi ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tenaa amevurugwaaa haswaaa.Ila siku hizi umechanganyikiwa shemeji [emoji16][emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣🤣🤣Peace bro Haina mbaya.....wanaume tunaambiana ukweliBro,ukae ukijua kwenye ladies wawili waliopo JF wewe haupo 😂
To be honest hua sifuatilii sana majina bali nasoma content tu,labda ndio nianze kufuatilia.Jina la kike lipi unalipenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu!!! Punguza sautiiiiiiKwahiyo udugu unaliwa nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 na wanaume wanapita kimya kimya km hajatajwa wategemee mapenzi kupunguaLeo wanaenda kuachwa watu pm😁😁😁
Heshima yako 🔥I'd tu inatisha. yuko pasono🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wa bla blah and so nimekususia manka
🤣🤣🤣🤣🤣Peace bro Haina mbaya.....wanaume tunaambiana ukweli
Sure!yaani mi nikiona duniani stress zimezidi naingia zangu JF Raha mustareheMaish magum acha tuchangmshe akil huku🤭
ai