Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

🤣🤣🤣🤣Unataka mambo ya bathtub na mishower gel au sio?ukitoka hapo unaenda kulala sio kujiegesha?safiiii sana hongera bwana Certified Hater
Sasa je sitaki kukutana na majini yenu chooni 🤣🤣🤣🤣, Popo unampa hongera yanini lakini Kwaniaba nimezipokea🤣🤣🤣🤣 mwanaume mgumu huyo hatikisiki hop he is in somewhere..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu acha vitishoo.
🤣🤣🤣🤣 uzuri wa beibyyy wangu hata wakimtaja akija anawashushua bac tafrani tupu!! Juzi kati kanipiga biti humu nilihisi drone za Israel zimetua kichwani kwangu wohiiiiii 😂😂😂😂😂
Sijui anatumia bangi ya wapi yule kiumbe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Udugu fifi ananiachanisha na mume wangu simuelewi ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kuachanaa, huu mwaka ni wa kufoc
 
Back
Top Bottom