Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Kuna Ile mwanaume anapambana ila mambo hayakai sawa....na unakuta tayari mnaishi pamoja au kitu kama hicho....
Ila Kuna wale kazi Yao kuvaa kobas za mpira na soksi nyeupe aaaaa maisha nikimuona naita polisi
 
Dada [emoji23]
Niambie ukweli wewe unaweza?
Sizungumzii mwanaume mtafutaji anazichanga ila mambo hayakai fresh....hapananamzungumzi "marioo"
Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k

Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,

Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
 
Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k

Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,

Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
Kitu kingine mwanamke akipenda lazima atajitoa tu Kwa ampendaye ila sio kula nauli au kutegemea yeye ndio ahudumiwe tu sio kuhudumia inshort mapenzi ni two way traffic wagogo wanasema "muhoko kubita, muhoko kuuya"
 
Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k

Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,

Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
Nina ndugu zangu maskini wengi sana...nina wadogo zangu wanahitaji mitaji....
Hiyo level sitakaa niifikie ya kugawa ela Kwa mwanaume ili animwagie mauno....
Zikijaa sana napeleleka msikitini,kanisani,Kwa wagonjwa na mayatima....
Simpi mtu asiyetaka kufanya kazi na ni mzima WA afya.....hizo ni fantasies watu wanataka kuzitimiza....Kuna wababa in their 50_60 na bado wanaridhisha au mwenzio age mate mbona wapo?
Mi naona Kuna member wengi wamekoment hapo ....hao wadada wanataka maisha ya kujiachia na kuendelea kudanga Kwa sababu wengi wao mtoe zar na mbutananga hapo. Wengi hawana maisha ya kuhonga...pesa za maana...
Kumsaidia mwenzio maisha sawa ila sio kumchukua mtoto ambae wazazi wake wameshindwa kumlea uje umleee. Wewe
 
Inaonekanaa Hela umeiona Ina thamani kubwa sana kuliko mapenzii...inaonekanaa hata mama mkwe wako akiumwa unaweza usimpeleke hospital kisa tu Hela Yako ngumu kutokaa ,,acha roho mbayà madam
Mama mkwe wangu yupo kwenye bajeti yangu ya Kila mwezi maana ninmzeee hajiwezi....nazungumzia kijana mwenye nguvu zake asietaka kufanya kazi nimpe pesa zangu wakati Nina ndugu kibao Wana matatizo
 
We tena umemweka mbuzi kagoma tunaanziaga mbususu uku unapanda juu utasikia wewe unafanya Nini unamjibu kwani haupendi ukiendelea anaanza kunena Kwa lugha ka yupo Kwa mwamposa basi mkishamaliza show utaona muamala huo baby utanunua vocha [emoji28][emoji28]
Hahahahahaha Kwa hiyo mnafnha ili kusubiri miamala
 
Humu JF mwanaume anakufuata DM eti anaomba hela,hapo anakuambia yupo ndani kwake anaangalia bunge.Kweli mwanaume unashinda ndani kuangalia bunge?Si bora utoke nje ukabebe hata zege jamani.
Mwambie Kuna wanaume wapo tayari kumlea yeye acheze na rimoti tu
 
Kuna Ile mwanaume anapambana ila mambo hayakai sawa....na unakuta tayari mnaishi pamoja au kitu kama hicho....
Ila Kuna wale kazi Yao kuvaa kobas za mpira na soksi nyeupe aaaaa maisha nikimuona naita polisi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mna roho mbaya saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakujibu kwa kirefu Dada Masai,
Huyo unayemshangaa anawezaje ni kua amesha timiza ndoto zake zote sasa alichobakiza ni kupata penzi moto moto ili afe kwa tabasamu na sio maumivu,
Niliona interview ya Zari alisema alimuomba mumewe mahari ya Qur'an pekee, hakuona kitu kingine cha kumuomba sababu yeye kila kitu anacho, pesa, magari mazuri, vacations nchi mbali mbali, n.k

Sisi tunaona haiwezekani kwa kua bado tunatafuta ila tukishafika levels za kua na kila kitu unabakiza furaha tu na furaha ya mtu wa miaka 40+ au 50+ ataipata kwa wachini yake sio wazee wenzie waliojichokea kwa maradhi ya kudumu ama wengine wameoa wake zaidi ya mmoja utapata wapi kujiachia na kupetiwa petiwa atakavyo,

Nasikia hao Marioo wanajua mahaba kama wanaenda kozi vile na mama akikolezwa vema why not asitoe ahsante.
Wewe Mwanamke Una akili saaaana.

Salute.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mna roho mbaya saana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajichanga hazitimii tupo wote baby...
Ila unaamka unaenda gym...unarudi unapiga chai nzito unarudi kulalA unasubiri nije na groceries to feed ur ass's..
.am soleeeeee Naita polisi nikikuona
 
Back
Top Bottom