Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

Jide ameonyesha kuipenda na kufurahia tweet ya shabiki mmoja asiyejua muziki.

Ni wazi 'like' aliyotoa Jide inaonyesha chuki aliyonayo kwa Zuchu ambae ni kama mtoto wa kumzaa kwake. Maoni ni mengi mtandaoni na watanzania wanasema Zuchu ndio kipenzi chao na kwenye uimbaji hana mpinzani kwa sasa, waliosema ni wananchi sio Zuchu sielewi wewe dada kwa nini Zuchu anakunyima usingizi

Nataka tu kumwambia Jide, kama watanzania wameamua kwa sauti moja kumpitisha Zuchu kuwa malkia mpya wa bongofleva.. Hauwezi kuzuia maana wakati wako umepita, muziki wa bongofleva kwa kina dada ni wa Zuchu kwa sasa.

Usitume wahuni kuchafua wenzio acha kazi ziongee mwisho wa siku dunia itasema nani ni zaidi, kutangulia kuimba sio kujua kuliko wote

View attachment 1466104
Shida ya ninyi mashabiki wa WCB mnaona kila anaewakosoa ni Team Kiba na hamshauriki. Huwezi Kumlinganisha Jide Jay Dee ambaye yuko kwenye fani kwa zaidi ya miaka 20 na Zuchu ambaye hana hata mwezi kwenye fani. Zuchu bado sana. Aendelee kujituma afikie angalau level za Akina Mwasiti, Ruby ama Nandy. Msimpe bichwa sana
 
Mashabiki wa wasafi sijui mna matatizo gani.!!

Sasa unaweza mfananisha Zuchu na Jaydee.????

Hata kwa Ray c bado hajafika kabisa, sahiv yupo kwenye zile level za kina Linah..

Zuchu hamfikii hata Mwasiti..

Alafu kwani mkisema tu Zuchu ni mkali bila kuwaingiza wasanii wengine kuna tatizo.??

Let say kwasababu Roma anavuma kwa sasa kwahiyo Roma ni mkali zaidi ya Prof.Jay.???

Hizo bange sijui mnavutia m@k@|¡●.????
CASE CLOSED.
 
Mkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.
Wewe mbona unang'ang'ania watanzania watanzania lini tulikutana kwa pamoja ns kumpitisha huyo mtu wenu? Anafanya vzr kweli ila bado mapema sana msimjaze kichwa akaharibikiwa na sidhani km kuna anaemchukia wasi wasi wenu tu wcb na km yupo atakuwa mpuuzi kumchukia mtu asiyekujua!
 
Mashabiki wa wasafi sijui mna matatizo gani.!!

Sasa unaweza mfananisha Zuchu na Jaydee.????

Hata kwa Ray c bado hajafika kabisa, sahiv yupo kwenye zile level za kina Linah..

Zuchu hamfikii hata Mwasiti..

Alafu kwani mkisema tu Zuchu ni mkali bila kuwaingiza wasanii wengine kuna tatizo.??

Let say kwasababu Roma anavuma kwa sasa kwahiyo Roma ni mkali zaidi ya Prof.Jay.???

Hizo bange sijui mnavutia m@k@|¡●.????
Tunapimaje kuwa huyu ni mkali na yule sio mkali mkuu ?

Hiko kipimo cha ukali ni kipi ?
 
Kikubwa alichofanya Jay dee ambacho Zuchu na wasanii wengine wakike hawawezi kukifanya ni "consistency", mara ya kwanza umesikia hit song ya Jay dee ni lini na mara ya mwisho ni lini.?????hiki kitu wameshindwa kina Stara thomas, Ray c, Vumilia e.t.c

Kwasababu hizi coments zitakuwepo tuombe uzima tuwe hai mwaka 2030 alafu ntakuuliza yukwapi Zuchu.!!

Mbona hata Vanessa mdee mlisema ni mkali zaidi ya Jide, sahivi yukwapi.???

Hapa East Africa, HAkuna, nasisitiza hakuna wakumfikia Jide kwa wasanii wa kike.!!!

To remind you: MNAMKUBALI SANA BOSS WENU DIAMOND KWASABABU YA KUBANIWA NA CLOUDS LAKINI BADO AKABAKI JUU, SASA HICHO ALICHOFANYA DIAMOND CHA KUIDINDISHIA CLOUDS NA AKAFANIKIWA AMEKIFANYA AKIWA NA MAMENEJA BORA WA BONGO FLEVA WA3(SALAAM, TALE, FELA), JIDE ALIKIFANYA AKIWA PEKEYAKE NA AKAFANIKIWA TENA HAO AKINA FELA NA TALE WALIKUWA UPANDE WA CLOUDS,..

NI WASANII WA3 TU WALIOWAHI KUINGIA BEEF NA CLOUDS NA WAKAFANIKIWA KUENDELEA KUWA JUU...

1.SUGU
2.JAY DEE
3.DIAMOND

Ndugu, Zuchu hajafika hata levels za Nandy, Ruby, sahivi yupo zile level alizokuwaga yule anaitwa Rachel kizunguzungu tofauti yao ni EP tu..

Akitoka hapo itabidi a climb kwa Nandy + Ruby + Linah, akitoka hapo aende level za kina Mwasiti + Vanessa mdee, akitoka hapo aende level za kina Ray c , akitoka hapo mpe miaka 10 awe anafanya vizuri kwenye game ndiyo tuje kumfananisha na Comando...
Kwa nini asifananishwe labda? Hao uliowataja wamefanya nini ambacho Zuchu awezi kukifanya?

Ishu si wameimba tu tena wote hao wote hawana uwezo wa kuandika nyimbo zao wenyewe. Zuchu ni mwandishi wa nyimbo zake anaandika yeye mwenyewe.

Tatizo tumekalili kila aliyetangulia ni mkali kuliko atayekuja kesho.

Kutangulia sio kuwa mkali kuliko wote, kina Lady Jaydee tuwape heshima ya kutangulia kwenye game na kufungua milango ya kuimba kwa kina dada ila haimaanishi wao ndio wakali kuliko kila mmoja.
 
Mkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.
WaTanzania wapi?
mbona comments za waTanzania huko juu zinasema tofauti kabisa

Binafsi sifahamu hata wimbo moja wa Zuchu namuona tu Nikiscroll Instance..

Pia tujifunze kukubali kila kitu na zama zake,
Jide ana agemates wake ambao watabaki kuwa wapenzi wa nyimbo zake
na Zuchu ana agemates wake ambao wanaelewa nyimbo zake.
 
Baby Hornet habari ya kimara.????
WaTanzania wapi?
mbona comments za waTanzania huko juu zinasema tofauti kabisa

Binafsi sifahamu hata wimbo moja wa Zuchu namuona tu Nikiscroll Instance..

Pia tujifunze kukubali kila kitu na zama zake,
Jide ana agemates wake ambao watabaki kuwa wapenzi wa nyimbo zake
na Zuchu ana agemates wake ambao wanaelewa nyimbo zake.
 
Mashabiki wa wasafi sijui mna matatizo gani.!!

Sasa unaweza mfananisha Zuchu na Jaydee.????

Hata kwa Ray c bado hajafika kabisa, sahiv yupo kwenye zile level za kina Linah..

Zuchu hamfikii hata Mwasiti..

Alafu kwani mkisema tu Zuchu ni mkali bila kuwaingiza wasanii wengine kuna tatizo.??

Let say kwasababu Roma anavuma kwa sasa kwahiyo Roma ni mkali zaidi ya Prof.Jay.???

Hizo bange sijui mnavutia m@k@|¡●.????
Kikubwa alichofanya Jay dee ambacho Zuchu na wasanii wengine wakike hawawezi kukifanya ni "consistency", mara ya kwanza umesikia hit song ya Jay dee ni lini na mara ya mwisho ni lini.?????hiki kitu wameshindwa kina Stara thomas, Ray c, Vumilia e.t.c

Kwasababu hizi coments zitakuwepo tuombe uzima tuwe hai mwaka 2030 alafu ntakuuliza yukwapi Zuchu.!!

Mbona hata Vanessa mdee mlisema ni mkali zaidi ya Jide, sahivi yukwapi.???

Hapa East Africa, HAkuna, nasisitiza hakuna wakumfikia Jide kwa wasanii wa kike.!!!

To remind you: MNAMKUBALI SANA BOSS WENU DIAMOND KWASABABU YA KUBANIWA NA CLOUDS LAKINI BADO AKABAKI JUU, SASA HICHO ALICHOFANYA DIAMOND CHA KUIDINDISHIA CLOUDS NA AKAFANIKIWA AMEKIFANYA AKIWA NA MAMENEJA BORA WA BONGO FLEVA WA3(SALAAM, TALE, FELA), JIDE ALIKIFANYA AKIWA PEKEYAKE NA AKAFANIKIWA TENA HAO AKINA FELA NA TALE WALIKUWA UPANDE WA CLOUDS,..

NI WASANII WA3 TU WALIOWAHI KUINGIA BEEF NA CLOUDS NA WAKAFANIKIWA KUENDELEA KUWA JUU...

1.SUGU
2.JAY DEE
3.DIAMOND

Ndugu, Zuchu hajafika hata levels za Nandy, Ruby, sahivi yupo zile level alizokuwaga yule anaitwa Rachel kizunguzungu tofauti yao ni EP tu..

Akitoka hapo itabidi a climb kwa Nandy + Ruby + Linah, akitoka hapo aende level za kina Mwasiti + Vanessa mdee, akitoka hapo aende level za kina Ray c , akitoka hapo mpe miaka 10 awe anafanya vizuri kwenye game ndiyo tuje kumfananisha na Comando...

bora mmekuja kunitetea huyu jamaa tena alikuja na uzi wa zuchu nikamkosa alinitukana balaaa nilimwambiaga zuchu bado sana
 
Mkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.
Hao waTanzania na mimi nimo?
Tusikoseane adabu. SIHUSIKI
 
Promota wa pambano kafeli katika maandalizi .uzito wa wapambanaji haulingani huwezi kulinganisha commando na kuruta lazima kuruta atapigwa knockout hata kama ana undugu na mkuu wa majeshi
 
Back
Top Bottom