Wanabodi,
Hata mimi kipindi nimekiona, kiukweli Lady JayDee ni mwanadada Comandoo wa ukweli, ni shujaa wa ukweli na mwanamke wa shoka wa kiukweli kweli kwa sababu kitendo cha kuwa tatizo ambalo ni personal, trivial, na very sensitive kinahitaji ujasiri wa ziada sio tub kwa kutamka, bali the motive behind hiyo revelation!.
Nimempongeza kwa sababu ni watu wachache haswa wanawake ndio wachache zaidi ambao wana ujasiri wa kiukweli kweli wa kuwa in public na kutoa personal problems zao, in so doing, watajikuta wanawasaidia wanawake wengine mamia kwa maelfu wanaoteseka na tatizo kama hilo ila hawana guts to come in an open kulisemea kwa sababu ni taboo hiyo kujikuta wanaishi ndani ya mateso makubwa huku huku hayo matatizo yakiwa yana wa kuwa"eat them from inside".
Namini Jide na Gadna watapita hapa, nimemuona huyo sheikh akiwasomea dua, hiyo dua sio suluhisho la kudumu la tatizo hilo bali litapoozwa tuu na sio kuondoshwa kwa sababu baadhi ya dua zinatumia majini wenye nguvu zaidi ili kuwajidhibiti majini wadogo ambalo hawk majini mahaba ni miongoni mwa majini wadogo wa maisha ya kila siku kama walivyo mapepo wengine kama pepo la ngono, pepo la ulevi, pepo la wivu, pepo la umalaya, pepo la uongo, pepo la fitna, pepo la umbea etc, ambayo yakidhibitiwa kwa majini makubwa, huenda kujikusanya na majini wenzao wengi na kumrudia kwa nguvu kubwa zaidi kwa sababu hiyo ya huyo sheikh, inatibu tuu symptoms yaani daily nasio chanzo yaani cause!.
Ili kutibu tatizo hilo once and for all, Gadna na Jide lazima wa deal na chanzo na wawe prepared to pay the price ikiwa some of success ya Jide imechangiwa na mahusiano hayo ya jini mahaba, akitimuliwa kwa evil means huwa ana retaliate very evil!. Dawa ya kudumu kwa Jide kujifanyia tathmini ya "karma" alivyomkuta Gadna, alimkutaje, na consequences ya penzi lake na Gadna limeimpact vipi watangulizi wake!. Just make right the wrongs she did, make peace na watangulizi, take care of the kids as yours, milango yako ya furaha genuine itafunguliwa, utajaaliwa mtoto na utaweza kusmile genuinely!.
Wish them all the best!.
Pasco.