Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
-
- #41
Glady Yuko Tigo pale Mlimani CityHayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi[emoji1787][emoji1787] sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa juliana
Juliana Yuko Mwanza Kwa SasaHayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi[emoji1787][emoji1787] sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa juliana
MbakaJamaaani, nini kimemkuta Charles? Watoto wake bado wadogo
Namkumbuka mwanae July, Glady used to be my best friend before i got married halafu tukapoteana,wakati huo alikua akitoka dodoma anafikia kwangu
Ameumwa Tu, Tuko Njiani Kuelekea Musoma.Jamaaani, nini kimemkuta Charles? Watoto wake bado wadogo
Namkumbuka mwanae July, Glady used to be my best friend before i got married halafu tukapoteana,wakati huo alikua akitoka dodoma anafikia kwangu
Sio Kila anacomment hapa ana kitambulisho Mzee Wengine Tulisoma nae ChuoHuu uzi naufatilia kwa uzuri, jamaa zetu wenye vitambulisho wanajianika bila wao kujijua
Amesoma chuo gani?Sio Kila anacomment hapa ana kitambulisho Mzee Wengine Tulisoma nae Chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana, Mungu awape wepesi na alale pema anapostahili, my prayers are with you all
Andika vizuri ueleweke.
Kawaida tu.. ..Huu uzi naufatilia kwa uzuri, jamaa zetu wenye vitambulisho wanajianika bila wao kujijua
Kama alimdhurumu mtu hayo yatosha kujustify end yake.Jamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Vero mwenyewe amemfanyia mbaya huyo mdogo wake Masha aisee Kuna wanawake wabovu Ila wana nanihii tamu sijui zinawasumbua watu.Sio tu kumuacha, enzi hizo Masha waziri wa mambo ya ndani, aliachwa na aliiitwa kupigwa mkwara juu ili akae mbali na Lisa maana nae alikua mbabe alikua mtu wa kumtishia kila mtu...yaani yeye kukutolea bastola kukwambia ntakuua ni simple especially ukimsogelea Lisa
Mkwara wake ulikua kama wa DeepPond ukimsogelea mama Jasmine