KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
De javu!Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukavimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.[emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji848]
.
Kifo kiboko yao alisema Dr RemmyMkakaro huyu huyu aliekuwa pale jumba jeupe au? Mimi nilimfahamu kwa jina la Charles Mkakaro au baba Glady, bado mdogo nini kimemkuta?
Sema jamaa alikua anapenda kutishia watu maisha, zile za unanijua mimi alikua nazo sana
Utakua ulimaanisha familia ya mzee Mtaragala Chilangi wa pale Kamunyonge jirani na kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).
Enzi za uhai wa mzee Chilangi ukipita kwake unakuta vibao mlangoni kulingana na mahali alipo kwa wakati huo. Mfano wa vibao ni HAYUPO, AMELALA, KATOKA, YUPO, KAPUMZIKA, nk. RIP mzee Chilangi.
Mnamjua Ngaita?
Duh!...Jamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa namaanisha 'secret' mkuu na sio 'secrete'
nafahamu maana ya secrete (of a cell, gland, or organ) produce and discharge (a substance).
AseeeUtakua ulimaanisha familia ya mzee Mtaragala Chilangi wa pale Kamunyonge jirani na kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).
Enzi za uhai wa mzee Chilangi ukipita kwake unakuta vibao mlangoni kulingana na mahali alipo kwa wakati huo. Mfano wa vibao ni HAYUPO, AMELALA, KATOKA, YUPO, KAPUMZIKA, nk. RIP mzee Chilangi.
Na znz wanasema uchawi wa bara ndio kiboko .... Kigoma ... Unatembea kumbe ulishakufa zamani.. .Uchawi wa zanzibar ni hatari hawa kiboko yao ni kuwafungia safari ya congo unaenda kuzikwa siku tatu ukifukuliwa kutoka kaburini uchawi wao ni punje tu na yoyote atakayejitia kiherere anaenda kubusu miguu ya shetani kuzima.
Duh poleni sanaJamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mleta uzi amesema ,jamaa amekuwa akiumwaJamaaani, nini kimemkuta Charles? Watoto wake bado wadogo
Namkumbuka mwanae July, Glady used to be my best friend before i got married halafu tukapoteana,wakati huo alikua akitoka dodoma anafikia kwangu
Angalia tu usije tolewa kucha hukohsp ya mzena…
itabidi siku moja nikafanye matembezi,
Ukisikia matapeli ndio hawaNgaita yupi tena huyo?
Sasa mbona unawastua??? Wewe vipi??........Ungeacha tu tuendelee kuwafahamu........Sio Kila anacomment hapa ana kitambulisho Mzee Wengine Tulisoma nae Chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanagombea Per Diem?Umeongea ukweli tupu, ile migongo watu wanaitamani sana tena kwa mama anavyosafiri hivi tutegemee vifo vingi sana katika hospitali yao hiyo ya mzena.
Watu wamepigwa chale hadi katikati ya makalio, achana na per diem mdogo wangu.Wanagombea Per Diem?
Duhhhhhh.....Kumbe pale Kijitonyama Fence Nyeupe ni Nooooma sana...Watu wamepigwa chale hadi katikati ya makalio, achana na per diem mdogo wangu.