TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.

Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya. Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Hospital ya mzena.

Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali. Dr. Mwinyi alivyopitishwa na CCM Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.

Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji. Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.

Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni. Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.

R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro[emoji24]
Picha
 
Anarudishwa Musoma badala ya kupelekwa kwa matibabu kwenye hospitali kubwa?
Mkuu hayo mambo omba t yaskukute..
Daktari wa kwanza wa mwili wako ni wewe mwenyew lazma ujue kujifanyia assessment sivo utaumia sana..nilishawai umwa mguu miez mitatu nahangaika mahospitalin kumbe kombola,
Hadi nakuja kustuka nishatambaa sana..
Na alinshauri daktari mmoja mshkaji wangu nijaribu kuchungulia upande wa pili ..
Siku moja t nilifanyiwa vitu lushoto uko milimani kesho natembea mwenyew.
 
Correction: Hakuna mtu asiejulikana Duniani. Hao secret security officer wanajulikana sema hawajulikani kwa watu wote ila wanajulikana.

Informers, intelligence officers qote wanajulikana ila sio kwa public, kwa very few circle of people.

Kutokujulikana Duniani ni kitu ambacho hakiishi.
Well said mkuu.
 
Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.

Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya. Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Hospital ya mzena.

Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali. Dr. Mwinyi alivyopitishwa na CCM Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.

Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji. Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.

Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni. Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.

R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro[emoji24]
Naomba picha ....poleni wafiwa wote
 
Duh kumbe huyu mwamba kavuta
Maana nlikuwa navuta picha +sura yake
Mbona kama naijua....

R.I.P comrade

Ova
 
Huwa nalipuka moyo kwa hofu kubwa kila nionapo hilo jina la 'Mzena Hospital'. I don't know why!!

-Kaveli-
Nchi ina vijana wa ajabu sana hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binafsi nmekuelewa una maanisha nini
 
Back
Top Bottom