changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Lakini hata hao Laliga nawenyewe watakuwa wamestuka, kivipi timu yenye point 1 na katika top 20 ya timu bora Africa haipo, halafu iwe na unbeaten?
Hao wanachojua ni kile walichoambiwa kuwa kuna unbeaten
Ila wangepata bahati ya kuangalia namna hizo unbeaten zilivyopatikana nadhani wangejua jinsi gani mpira unatukanwa huku Tanzania
Umeandika hisia badala ya uhalisia. Mechi kadhaa ambazo hazizidi tatu ndio imetokea maamuzi ya kutatanisha kwa waamuzi yaliyoyanufaisha Yanga tena hapo ni tokea msimu uliopita hadi hapa tulipofikia. lakini hayo makosa ya waamuzi hayakuibeba Yanga bali kila timu imeyapata ikiwemo Simba. Na pia yapo makosa ambayo yameionea Yanga ikumbukwe hilo pia.
Tu assume kama ulivyotaka wewe kuwa hao la liga wanapata nafasi ya kuangalia mechi za Yanga ili kujiridhisha ubora wao.
Mechi zote za Yanga vs Al Hilal, Yanga walitawala mchezo na Al Hilal hakuna mpira wa maana waliocheza.
Tukuja kwa Club African ndio kabisa Africa imeshuhudia timu ya Tanzania ikiitoa timu kutoka uarabuni wakiwa nyumbani kwake.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app