Kikwete ndipo alipoibua msemo "kujimwambafay:Hakika Ni ujinga na upuuzi kwa Umri wa Rais Magufuli KUFUATA USHAURI WA VIJANA WAVUTA BHANG Kama kina MAKONDA, GAMBO,CHALAMILA, KIBAJAJI, MSUKUMA, etc akaacha kuchota Busara za WAZEE k.m. MZEE MWINYI, MZEE MKAPA, MZEE KIKWETE etc. Kikwete aliwahi kushauri akasema, UPINZANI SIYO UADUI lakini akapuuzwa kwa kumbiwa "ANAWASHWA". Mzee wa Msoga akaufyata!!
Piga kampeni mzee baba/mamaLisu analeta furaha iliyokuwa imejificha kwa miaka mingi sana,yaani Mimi nafurahi mpaka machozi yananitoka
Hakuna mmasai anayeandika kitopolo kama wewe eti rakini akushinda ulaisi we sema ni kijukuu kutoka chato basi.Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Aisee we jamaa umewaza km mimi. Dah Magu nilimpenda sana. Aliondoa yale mazoea ya kisenge serekalini.Huyu Magufuli nilimpenda sana kuanzia Nov 2015 mpaka Mei 2016. Kipindi hicho alinifanya niwe na fahari kuwa Mtanzania. Kwa kweli sijui nini kilitokea akabadilika na kuwa shetani kama alivyo leo. Kipindi hicho hata nchi nyingine zilituonea wivu kuwa na Magufuli. Sidhani kama kuna nchi yoyote ambayo kwa sasa inatamani kuwa na Magufuli tena. Mgema alisifiwa, tembo akalitia maji! Simpi kura yangu hata kidogo. Labda NEC wampe tu.
Balabala, ulais, rakini. Mmmh! Kazi ipoHata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Hao wakina Bashite mnawasingizia..kuna baadhi ya mawaziri vivuli ndio wanamshikia akili..ndio maana Ben alivyoondoka alilia sana..Magufuri angekuwa Kati ya marais bora walio tawala Tanzania nazani alikosa washauri wazuri
Akafuata ushauri wa akina makonda na wengine wajinga wajinga kama kina gambo chalamila hapi muro sabaya hawa wamemuhalibia sana magufuri na yeye alifanya kosa kubwa kuwaacha
Tatu walipo anza watu wasio julikana hapa ndio nikakichikia kabisa ccm pamoja na rais hata kufanya uchunguzi wa kinafiki akaa kimya
Kiukweli siwezi kuchangua ccm tena naenda na lisu
Ccm ya Leo vijana haitusamini kabisa watu wapo mtaani tu ajira hakuuna ila watoto wao wanapewa ajira ila si wa huku mgombe vijijini tujiajili jamani
Naongea kwa uchungu sana ila ccm tutawafurahisha safari hii mtaiba hadi mtashindwa tu tutapiga kula za kimbunga haijawahi tokea
Poa mkuu Ila usiwatishe watu tena Acha tufanye jambo letu 28 OctoberKMMK waklai wewe fundi25 tangu nijiunge JF tarehe 9/9/2009 sijawahi pewa "dislike"
Dah ndio ushantia gundu hivyo Hem ifute basi au njoo pm nukupe hata bakhshishi ufute HAHAHAHAHAHAHAH
🤣🤣🤣🤣🤣 Safi sana mkuu. Nimeona juhudi zako mkuu. Haina haja ya pm.Poa mkuu Ila usiwatishe watu tena Acha tufanye jambo letu 28 October
Nina ondoa bila kinyongo ila PM siji mkuu
Balabala = barabaraHata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Poa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 Safi sana mkuu. Nimeona juhudi zako mkuu. Haina haja ya pm.
Lissu kaibomoa CCM kanda yote ya Ziwa ambayo ndio iliyokuwa Ngome ya CCM
Ile deki sio kama ya Lowassa hii ya leo pale Lamadi imebarikiwa na Wazee wa GamboshKwa hiyo kaibomoa kwakuwa kapigiwa deki? Na Lowasa je? Hahahaha naomba msikimbie jukwaa tarehe 28
Pole sana ,zama zimebadilika,kama unafamilia jalibu kuitazama uone hisia zao,tatizo mliishi kwa mazowea, WANANCHI ndiyo wenye Nchi wakiamua wanaweza kuwapumzisha MaCCMwe kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
Hata mgombea wa "Saccos" 2015 alidekiwa barabara na matokeo wote tunayafahamu