Ahjumma
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 460
- 382
Barabara bwana utakuwa umeishia standard 7 weweHata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara bwana utakuwa umeishia standard 7 weweHata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Allahu akbarGod's time for Lissu, Ni muda wa kibali toka kwa Allah japo wanajaribu kuziba na kulazimisha mambo.
We darasa la nne la zamani ndio unatetea ccm?? Duuh!Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
ccm hawapo mtandaoni?mnashinda mitandaoni mnadhani ushindi ndio unapatikana humu
We darasa la nne la zamani ndio unatetea ccm?? Duuh!
Ccm inawatumia wasanii kwenye kampeni kuwapumbaza wananchi wasahau machungu yao
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii hiyo Biashara ya abra cadabra imethibitiwa na haina nafasi. Matokeo ya Kura za Urais Uchaguzi huu yatafurahisha kweli.....Tukutane hiyo tarehe 28 Okt,2020.Itapigwa abra cadabra utaambiwa papa mukulu ameshinda kwa kishindo landslide victory asilimia 95 hapo ndio huwa hata mm nashindwa kuelewa!!!
mahesabu hayo ni ya namna gani!?
Ulais =UraisHata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
sidhani kama anapoteza muda wake........... ukweli ni kwamba abajenga chema na kupata wafuasi wengi, wabunge, madiwani na kila chaguzi zinavyiendelea wafuasi wanaongeza na kuna siku CCM watashindwa na watakuwa chama cha upinzani time will tell us. Lengo sio kushinda urais mkuu.Hamna lolote,amuulize lowassa kilichomkuta,he is wasting his time
Yani ni aibu nimeona mimiKumbe hata kuandika hujui. Ndio maana CCM inawatumia wajinga kama nyie.
Ngoja nikusahihishe siku nyingine uandike vizuri.
Balabala....... Barabara
Rakini............lakini
Akushinda..... Hakushinda
Ulais.......urais
Ndege wafananao huruka pamoja.Magufuri angekuwa Kati ya marais bora walio tawala Tanzania nazani alikosa washauri wazuri
Akafuata ushauri wa akina makonda na wengine wajinga wajinga kama kina gambo chalamila hapi muro sabaya hawa wamemuhalibia sana magufuri na yeye alifanya kosa kubwa kuwaacha
Tatu walipo anza watu wasio julikana hapa ndio nikakichikia kabisa ccm pamoja na rais hata kufanya uchunguzi wa kinafiki akaa kimya
Kiukweli siwezi kuchangua ccm tena naenda na lisu
Ccm ya Leo vijana haitusamini kabisa watu wapo mtaani tu ajira hakuuna ila watoto wao wanapewa ajira ila si wa huku mgombe vijijini tujiajili jamani
Naongea kwa uchungu sana ila ccm tutawafurahisha safari hii mtaiba hadi mtashindwa tu tutapiga kula za kimbunga haijawahi tokea
Hao jamaa wana njia nyingi sana za kuhujumu...Safari hii hiyo Biashara ya abra cadabra imethibitiwa na haina nafasi. Matokeo ya Kura za Urais Uchaguzi huu yatafurahisha kweli.....Tukutane hiyo tarehe 28 Okt,2020.
Hakika Ni ujinga na upuuzi kwa Umri wa Rais Magufuli KUFUATA USHAURI WA VIJANA WAVUTA BHANG Kama kina MAKONDA, GAMBO,CHALAMILA, KIBAJAJI, MSUKUMA, etc akaacha kuchota Busara za WAZEE k.m. MZEE MWINYI, MZEE MKAPA, MZEE KIKWETE etc. Kikwete aliwahi kushauri akasema, UPINZANI SIYO UADUI lakini akapuuzwa kwa kuambiwa "ANAWASHWA". Mzee wa Msoga akaufyata!!Ndege wafananao huruka pamoja.
Aina ya watu wanaomzunguka mtu ni wale wa tabia yake.
Na hao wote amewainua yeye sababu wanatabia anazozihitaji.
Alikataa mwanga akachagua giza/kiza, na sasa anajikwaa kila wakati.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Duuuh umeishia darasa la ngapi?Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Hao jamaa wana njia nyingi sana za kuhujumu...
Rudi shule basi ukafundishwe kuandika vizuri kwanzawe kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
Magufuri angekuwa Kati ya marais bora walio tawala Tanzania nazani alikosa washauri wazuri
Akafuata ushauri wa akina makonda na wengine wajinga wajinga kama kina gambo chalamila hapi muro sabaya hawa wamemuhalibia sana magufuri na yeye alifanya kosa kubwa kuwaacha
Tatu walipo anza watu wasio julikana hapa ndio nikakichikia kabisa ccm pamoja na rais hata kufanya uchunguzi wa kinafiki akaa kimya
Kiukweli siwezi kuchangua ccm tena naenda na lisu
Ccm ya Leo vijana haitusamini kabisa watu wapo mtaani tu ajira hakuuna ila watoto wao wanapewa ajira ila si wa huku mgombe vijijini tujiajili jamani
Naongea kwa uchungu sana ila ccm tutawafurahisha safari hii mtaiba hadi mtashindwa tu tutapiga kula za kimbunga haijawahi tokea